Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa refa kama angekuwa fair, kipindi cha kwamza Azam walitakiwa wacheze 10 uwanjani na still huyo huyo (Banyana) aliye cheza rafu kipindi cha kwanza ambayo ni straight red card akacheza tena kipindi cha pili bado hakuwapewa red card.Vipi bila refa wa mchongo kuwabeba ungepata nguvu ya kuongea
Bongo sisi tunafuata upepo simba akishinda na yanga lazima ashinde mmoja akishinda mwingine akafungwa matusi yake sio ya nchi hiiMpira wa bongo umejaa majungu sana.
Yaaani Simba na Yanga wao kutoa droo au kufungwa ni dhambi kubwa!
Goal la kwanza mpira ulitoka nje kabla joyce hajapiga cross na ndo ilizaa builds up ya goli ukijibu naendeleaNitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Goli la kwanza mpira ulitoka nje ule acha ushabiki maandazi joyce kaupiga mpira ukiwa njeNitajie Goli la mchongo tulilofunga Yanga.. me nakumbuka magoli yote ni kama Yale Tuliwafunga nyie Makolo.. ule mkwaju wa kwanza, Feisali kalirudia kama lipo alilowatoboa kule Arusha.. Lile la pili duuuh, Njoo ubishe kama uwongo wewe Kolo
Goli la kwanza mpira ulitoka nje ule acha ushabiki maandazi joyce kaupiga mpira ukiwa njeNitajie Goli la mchongo tulilofunga Yanga.. me nakumbuka magoli yote ni kama Yale Tuliwafunga nyie Makolo.. ule mkwaju wa kwanza, Feisali kalirudia kama lipo alilowatoboa kule Arusha.. Lile la pili duuuh, Njoo ubishe kama uwongo wewe Kolo
Nitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Kona iliyosabanisha goliNitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Acha umbumbumbu, mpira wa Lomalisa ulisha kufa baada ya Yanga kushambulia Azam waliokoa ukawa Kona. Goli La kwanza la Yanga halikua na mausiano yaoyote na Mpira alio ucheza Lomalisa.Goli la kwanza mpira ulitoka nje ule acha ushabiki maandazi joyce kaupiga mpira ukiwa nje
Achana na haya mambumbumbu huwa hayaelewi kitu na ndivyo yalivyo usiumize kichwa kuyajibuAcha umbumbumbu, mpira wa Lomalisa ulisha kufa baada ya Yanga kushambulia Azam waliokoa ukawa Kona. Goli La kwanza la Yanga halikua na mausiano yaoyote na Mpira alio ucheza Lomalisa.
Hhe HV ujaachaga kuchekacheka wew Sasa hap umecheka nn sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magoli ya utata kesho tutayaona mengi dhidi ya kmc timu pendwa ya tffNitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Magoli ya utata kesho tutayaona mengi dhidi ya kmc timu pendwa ya tffNitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Magoli ya utata kesho tutayaona mengi dhidi ya kmc timu pendwa ya tffNitajie goli walilofunga yanga ambalo lilikuwa na utata
Fahamu kuwa kuna wachezaji kuumwa na kuchoka,nabi alilazimika kuwaweka hao wachezaji njeUwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.
Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.
Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.
Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.
Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Refa ni WA uwanjani wewe kolo f c🤔Sema point 2 ndio kapoteza na mshukuruni refa wenu yule
Nashangaa anayesema kipindi cha kwanza Azam walitawala kiungo. Muda mwingi Yanga walikuwa kwenye half ya Azam ila mipango ya mwisho golini haikuwa sawa kabisaYanga tulikosa utulivu, tulipata nafasi nyingi na tulifika maranyingi golini Kwa Azam ila hatukutumia nafasi tulizo zipata.Azam walifika marachache golini Kwa Yanga ila walikua hatari.