Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba alipocheza shirikisho aliishia wapi?Msimu ujao simba na yanga zijifungishe kwenye hatua za awali za club bingwa ilinzidondokee looser,zinaweza kutana fainali kombe likabaki Tanzania
Kuwasha moto uwanjani mwa Keiza Chiefs South Africa na kupigwa faini na CAF.
Kishingo si mlimfukuza?Umeshakuza jina sepa fasta kapige hela Uto sio baba yako. Ona Kishingo tulikuwa naye leo kocha wa Wydad
Si mnasema kombe la loser, mara kacheza na timu dhaifu sasa ameluzaje jina?Umeshakuza jina sepa fasta kapige hela Utopolo sio baba yako. Ona Kishingo tulikuwa naye leo kocha wa Wydad
Hakufukuzwa. Baada ya kuipiga Platnums 4 na kutinga makundi akaiibukia fursa AS FAR Morroco. Kocha ukiwa kwenye peak ndio timing nzuri.Kishingo si mlimfukuza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba hatuhitaji losers, sisi ni CAF CL tyuuhMsimu ujao simba na yanga zijifungishe kwenye hatua za awali za club bingwa ilinzidondokee looser,zinaweza kutana fainali kombe likabaki Tanzania
Unakuaga na akili japo dakika mbili?Kwa hiyo kagoma kabisa kuvua majaketi ya Simba. Huyu Simba tufanye tumchukue halafu tumpeleke afundishe Simba under 12. Uwezo huo tunao.
🔨🔨🔨...Msimu ujao simba na yanga zijifungishe kwenye hatua za awali za club bingwa ilinzidondokee looser,zinaweza kutana fainali kombe likabaki Tanzania