Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kocha are hired to be fired
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukimtimizia wachezaji awatakao mbona mwakani tena.Kocha Mkuu wa Yanga, Mohamed Nabi amesema kuendelea kwake kusalia ndani ya klabu hiyo kunategemea mipango ya uongozi wa klabu baada ya tathmini ya msimu huu na nini wanahitaji kwa msimu ujao.
View attachment 2646003
Kishingo si mlimfukuza?
[emoji23][emoji23]Nabi huendi kokote, wewe ni kocha bora wa msimu huu. Nitakuwa wa kwanza kuandamana wakikuacha. Mimi chawa na kunguni wako.
lugha tatizo sana aiseeKocha Mkuu wa Yanga, Mohamed Nabi amesema kuendelea kwake kusalia ndani ya klabu hiyo kunategemea mipango ya uongozi wa klabu baada ya tathmini ya msimu huu na nini wanahitaji kwa msimu ujao.
View attachment 2646003
Alifukuzwa kijanja, wasiomtaka walipitia kwa mashabiki wenye umaarufu wa kuhojiwa na online TV. Hoja yao eti alicheza mpira usiovutia. Alivyoona hivyo akajiongeza mapema. Baadhi ya viongozi wa Simba hawakumpenda kwa misimamo yake.Hakufukuzwa. Baada ya kuipiga Platnums 4 na kutinga makundi akaiibukia fursa AS FAR Morroco. Kocha ukiwa kwenye peak ndio timing nzuri.
Sawa maliza kunyonya kwanzaNajua wewe ndio uliyevaa miwani hapa na mwenzio changaule hapo pembeni mkitembea kibabe kwa kumfunga mwarabu kwao.
View attachment 2646296
Kama mshawahii kufika mbali vile mkikaza sana robo yaani msicheze mbali unga robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba hatuhitaji losers, sisi ni CAF CL tyuuh
Hachomoki huyu....Kocha Mkuu wa Yanga, Mohamed Nabi amesema kuendelea kwake kusalia ndani ya klabu hiyo kunategemea mipango ya uongozi wa klabu baada ya tathmini ya msimu huu na nini wanahitaji kwa msimu ujao.
View attachment 2646003
Nyie wadada mpira sio hobby yenuAtoke hapo aende wapi sasa watakapomhitaji!? Hivi naye huyo kuna timu itamhitaji mbona ni level za kina Mexime hayo maneno ni kutaka kujionyesha ni wa muhimu hasa kipindi hiki
Nyie Makundi enyewee hamjawahi kugusaa lolKama mshawahii kufika mbali vile mkikaza sana robo yaani msicheze mbali unga robo
Kaizer vs simba ilikuwa champions league sio CCKuwasha moto uwanjani mwa Keiza Chiefs South Africa na kupigwa faini na CAF.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nabi huendi kokote, wewe ni kocha bora wa msimu huu. Nitakuwa wa kwanza kuandamana wakikuacha. Mimi chawa na kunguni wako.
Nabi huendi kokote, wewe ni kocha bora wa msimu huu. Nitakuwa wa kwanza kuandamana wakikuacha. Mimi chawa na kunguni wako.