Kocha Nabi: Uongozi wa Yanga utaamua kama natakiwa kubaki au kuondoka

Hakufukuzwa. Baada ya kuipiga Platnums 4 na kutinga makundi akaiibukia fursa AS FAR Morroco. Kocha ukiwa kwenye peak ndio timing nzuri.
Alifukuzwa kijanja, wasiomtaka walipitia kwa mashabiki wenye umaarufu wa kuhojiwa na online TV. Hoja yao eti alicheza mpira usiovutia. Alivyoona hivyo akajiongeza mapema. Baadhi ya viongozi wa Simba hawakumpenda kwa misimamo yake.
 
Atoke hapo aende wapi sasa watakapomhitaji!? Hivi naye huyo kuna timu itamhitaji mbona ni level za kina Mexime hayo maneno ni kutaka kujionyesha ni wa muhimu hasa kipindi hiki
 
Kwa suala la Kocha Uto nawapa big up Kwa kumvumilia Nabi kutoka kipindi kile anapigwa nje ndani na Rivers mpaka sasa amewafikisha fainal shirikisho. Simba inapaswa kuiga Kwa hili iache upumbavu wa kufukuza fukuza makocha.
 
Kama mshawahii kufika mbali vile mkikaza sana robo yaani msicheze mbali unga robo
Nyie Makundi enyewee hamjawahi kugusaa lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nabi huendi kokote, wewe ni kocha bora wa msimu huu. Nitakuwa wa kwanza kuandamana wakikuacha. Mimi chawa na kunguni wako.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
bahasha za kaki zilikuwa zinambeba sana nabi.sasa huko anapokwenda akawe makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…