Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Muone kwanza π π π π π π yaani katukutu wewe Carasco Putin I miss u too...Mic u [mention]Bantu Lady [/mention] [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Muone kwanza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yaani katukutu wewe Carasco Putin I miss u too...
Umeshaanza maandamano nikujoin? πNabi huendi kokote, wewe ni kocha bora wa msimu huu. Nitakuwa wa kwanza kuandamana wakikuacha. Mimi chawa na kunguni wako.
Soma vizuri, nilisema wakimuacha na si akiondoka mwenyewe.Umeshaanza maandamano nikujoin? π
Title ya uzi huu inasomeka hivi:Soma vizuri, nilisema wakimuacha na si akiondoka mwenyewe.
Sidhani kama wamemuacha, atakuwa kapata dau kubwa zaidi. Kaamua kuondoka akiwa na heshima hii. Panapo uzima, anaweza kurudi tena.Title ya uzi huu inasomeka hivi:
Kocha Nabi: Uongozi wa Yanga utaamua kama natakiwa kubaki au kuondoka
Kwa lugha hiyo, hakuwa na mpango wa kuondoka ila uongozi umemuacha