Kocha Noureddine Al-Nabi atua Yanga

Mwambieni asiwe anasahau pass yake ya kusafiria
 
Mshaurini awe anatembea na begi lake kabisa kama ilivyokuwa anafanya Enyamel..... Huyu hafiki May 10 maana tarehe 8 anakutana na dhahama.
Mara zote mkiingia na matokeo yenu mifukoni, huwa mnaishia tu kujambishwa na Wananchi ndani ya dk 90.
 
"Pia keshawai kufundisha Real Madrid B"
Kauli ya Utopolo iyo ya kwenda Airport kupokea likocha lao.
 
Hajui hata kingereza atafundishaje sasa na wachezaji wa utopolo hawaelewi
 
Kwa taarifa tu: Huyu ndiye kocha aliyefukuzishwa na simba ya Tanzania, baada ya kushindwa kutamba nyumbani kwenye mechi ya caf champions league. Sasa amejileta mwenyewe kwenye 18 mdomoni mwa simba, mbona atateseka!!
 
Wataalam Wa kusoma USO Wa MTU,mbona ni kama anaogopa vile?
 
WANADANGANY ALIKUWA KOCHWA AFC LEOPARDS YA CONGO BRAZAVILLE WAKATI WAKICHUKUA UBINGWA WA AFRIKA SHIRIKISHO KUMBE KOCHA ALIKUWA JOSEPH OMOG HUYU MWARABU ALIKUWA MKURUGENZI WA UFUNDI
 
Hili kaburi linatia uchungu kwakweli nikama lile la kibu d vs mayele
 
Hahahaaah! Kufukua makaburi kuna raha yake aiseee!
 
Hahhhhhhh kuna nyuzi ukizosoma unaishia kucheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…