Kocha Syllersaid Mziray Hatunae tena

Status
Not open for further replies.

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752

habari zimeingia asubuhi hii zinasema super coach syllesaid mziray amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya aga khan jijini dar alikokuwa amelazwa akisumbuliwa n malaria. Habari za mipango ya mazishi zitafuata mara tu baada ya kupatikana.
 
Mungu amjalie apone haraka, taifa bado linamhitaji
 
Malaria ni ugonjwa ambao unasababishwa na uchafu uliokithiri ambao unawapa nafasi mbu kuzaliana kwa wingi. Na wa kulaumiwa hapa ni halmashauri za majiji na Serikali kuu. Pole sana Mziray.
 
Pole mzirai.
Lawama si suluhisho kama kila kitu ni lawama tutaisha. Cha muhimu tuwajibike kila familia,kaya kupambana na mbu.
ndani ya nyumba na nje ya nyumba mazingira yawe safi, then serikali ifikirie suluhisho la kudumu.
I think DDT ikitumika vyema itapunguza saan kama si kuondoa kabisa malaria.Nasikia zenj wamefanikiwa sana war against malaria.
 
Kushindwa kwa taifa kupambana na malaria kwa mafanikio ni jambo la aibu .
 
ugua pole MWANANGU..ukipata nafuu kidogo usikose kwenda kupiga kura
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…