Wakwetu, Mkulu, Ugua Pole, na yote twakuombea kwa Muumba kwani ndiye ajuaye!
Pia Ahsante kwa kuleta mapinduzi ya kabumbu nchini, unajua kama UK walivyoletewa mapinduzi ya kulisakata boli na Arsene Wenger, nawe ulifanya vivyo hivyo Tanzania, tofauti ni kuwa hapa kwetu Tz sifa hupewi labda uwe fisadi na upewe na ma fisadi wenziyo!!
Uguwa pole Kocha!
Pia Ahsante kwa kuleta mapinduzi ya kabumbu nchini, unajua kama UK walivyoletewa mapinduzi ya kulisakata boli na Arsene Wenger, nawe ulifanya vivyo hivyo Tanzania, tofauti ni kuwa hapa kwetu Tz sifa hupewi labda uwe fisadi na upewe na ma fisadi wenziyo!!
Uguwa pole Kocha!