Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua mkuu gonjwa gani hilo acha mzawa mwenzio anaumwa serious sana kaka tumuombeeKuna tuhuma niliwahi kuzisikia siku nyingi kidogo super coach ana kale kaugonjwa kasikokuwa na chonjo wala tiba.
ukimyoshea mwenzio kidole jua 4 vinakuonyeshea wewe,cha msingi tumuombee uzima apone upesi arudi ktk ujenzi wa taifa,tuacheni sana maneno hasahasa ya vijiweni.Kuna tuhuma niliwahi kuzisikia siku nyingi kidogo super coach ana kale kaugonjwa kasikokuwa na chonjo wala tiba.
kocha maarufu nchini, syllersaid mzirai amelazwa katika hospitali ya regency jijini na hali ya ni mbaya sana kiugua maradhi ya malaria. Watanzania tumuombee kocha huyo wa zamani wa timu za simba,, yanga na taifa stars.
huyu ninaye mjua mimi ambaye ni mwalimu na profesa wa physical education pale udsm!!!!!!!!!!!?mh kama ndio yeye pole sana kwa wadada aliowafungulia maboutiq loh anaumwa huyo ugonjwa uanosumbua akili za watu sana but get well soon mr mziray
Hivi kuna mtu aliye mzima kweli kwa hali ya sasa?Kuna tuhuma niliwahi kuzisikia siku nyingi kidogo super coach ana kale kaugonjwa kasikokuwa na chonjo wala tiba.
Ukweli mtupu kaka na naogopa kwa machache niliyokuwa nayashuhudia loo miaka michache iliyopitaKuna tuhuma niliwahi kuzisikia siku nyingi kidogo super coach ana kale kaugonjwa kasikokuwa na chonjo wala tiba.
huyu ninaye mjua mimi ambaye ni mwalimu na profesa wa physical education pale udsm!!!!!!!!!!!?mh kama ndio yeye pole sana kwa wadada aliowafungulia maboutiq loh anaumwa huyo ugonjwa uanosumbua akili za watu sana but get well soon mr mziray
Hii ni kama vile "wivu sina roho inauma".Keshapata nafuu na anaendelea vema sasa.huyu ninaye mjua mimi ambaye ni mwalimu na profesa wa physical education pale udsm!!!!!!!!!!!?mh kama ndio yeye pole sana kwa wadada aliowafungulia maboutiq loh anaumwa huyo ugonjwa uanosumbua akili za watu sana but get well soon mr mziray
Pole Mziray,
Iwe malaria iwe ugonjwa gani, any sick human being needs hope and care from human beings.
Heri yao ambao ni disease proof!
wapo... pima na wewe ujijue kama ni mzima dadangu!Hivi kuna mtu aliye mzima kweli kwa hali ya sasa?
Ugua pole coach