Kocha wa Orlando Pirates aapa kulipiza kisasi kwa hujuma alizofanyiwa na Simba

Kocha wa Orlando Pirates aapa kulipiza kisasi kwa hujuma alizofanyiwa na Simba

Tafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.

Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.

Punguani wahed.
Kweli kabisa sijaona uhusika wa Qur'n tukufu hapo
 
Kiufupi kwa Mkapa hatoki Mtu shikilia Hapo tu panatosha.
 
Hawaja tutreat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje?

Kocha mkuu wa Orlando pirates Mandla Cinkazi.
Mind game hiyo hana lolote
 
Tafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.

Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.

Punguani wahed.
Q72:1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi. 2
 
Tafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.

Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.

Punguani wahed.
Nani asiyejua Uislamu umegubikwa na majini ndani yake, hata majini yenu kufanya kazi huwa mnasoma hiyo quran
 
Back
Top Bottom