ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
UTAKUFA MDOMO WAZI NA CHUKI ZAKO.Majini yalijaa uwanja mzima baada ya Koran kusomwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTAKUFA MDOMO WAZI NA CHUKI ZAKO.Majini yalijaa uwanja mzima baada ya Koran kusomwa
Tena ni zaidi yapunguani, jamaa linaachuki ya ajabuTafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
Nyie shukuruni zile koraani zilizosomwa hapo kuanzia asubuhi kabla ya mechi
Tuna watu wakifala sana humu nchiniHuu Ni mfano wa jinsi watanzania tunavyo chukiana.
Kweli kabisa sijaona uhusika wa Qur'n tukufu hapoTafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
Endelea kuombolezaVAR iliyokua ifungwe imeibiwa. Afrika tunasafari ndefu katika soka.
Aliwauza huyo boya akawajaza upepoHaji manara atakuwa na hali mbaya sana
Dini na Mungu hawatetewi, hujitetea wenyeweTafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
majini na mapepo yapo makanisani,ndipo napotoana huko kila siku,ushawahi kuskia muislam katolewa jini mskitini?Majini yalijaa uwanja mzima baada ya Koran kusomwa
Madam hadi huku unafikaga?Tafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
Umedhihirisha ujuha wako,Kaizer iliyokula 3 na simba nani alivuka stage hiyo na kwenda nusu fainali
Umedhihirisha ujuha wako,
Hapa tunazungumzia kushinda mechi ktk kuwanja husika....utopolo wote hawana akili
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mind game hiyo hana loloteHawaja tutreat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje?
Kocha mkuu wa Orlando pirates Mandla Cinkazi.
Q72:1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!Tafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
Kweli imeleta majiniTafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
UtaonaMind game hiyo hana lolote
Muyatoe wakati ni ndugu zenu?majini na mapepo yapo makanisani,ndipo napotoana huko kila siku,ushawahi kuskia muislam katolewa jini mskitini?
Shikamana na Adabu,
Nani asiyejua Uislamu umegubikwa na majini ndani yake, hata majini yenu kufanya kazi huwa mnasoma hiyo quranTafadhali shika adabu yako, usiihusishe Qur'an na majini.
Wewe kama huuwezi ushabiki ni heri ukae kimya. Usianzishe udini hapa.
Punguani wahed.
Je ni wapi walikoyapatia wanaotolewa huko makanisani?Muyatoe wakati ni ndugu zenu?