Kocha wa Orlando Pirates aapa kulipiza kisasi kwa hujuma alizofanyiwa na Simba

Kocha wa Orlando Pirates aapa kulipiza kisasi kwa hujuma alizofanyiwa na Simba

Aache ufala,kwani wa kwanza yeye kufungwa hapo?
Kaizer chiefs walikula 3 buyu wakatulia kimyaaaaaa

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

Kwanza hata Kaizer Chiefs wanawashangaa mbona wao wametekenywa kamoko tu wakati walitegemea vidole vitano. Wasimchukulie mnyama easy easy wamuulize champion of champions Al Ahly , Zamalek, TP Mazembe na AS Villa Muziki wa Simba kwa Mkapa ukoje tena hata Berkane aulizwe. Mbwembwe tu wasouth wale mpira kawaida sana
 
Kuna clip iko huko yuotube za OP nikasema yerewiii Simba anaenda kukutana na Bancelona...... kumbe madudu mtupu........... Wale wachambuzi wa mchongo kutoka wasafi fm & Efm mpooo ......... nasema Simba wanapita vzuri tu coz 2-1 anapita 3-2 anapita sare yoyte simba anapita

Kamwene 🐸🐸
 
Hawaja tutreat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje?

Kocha mkuu wa Orlando pirates Mandla Cinkazi.
Nyie wazoefu wa CAS mpeni masaada wa kisheria akashitaki CAS .
 
Team imekuja siku moja kabla ya mechi halafu imefungwa wanalalamika.
 
Nani asiyejua Uislamu umegubikwa na majini ndani yake, hata majini yenu kufanya kazi huwa mnasoma hiyo quran
Wawezatupatia ushahidi,au ni ChUKI TU DHIDI YA UISLAMU?Maana chuki mliyonayo dhidi ya uislamu ni kubwa sana na si ajabu kutunga uongo kila uchao, ili kuipaka matope dini hii lakini haitasaidia kitu,Allah (Sw)atailinda mpaka kiyama
 
Wawezatupatia ushahidi,au ni ChUKI TU DHIDI YA UISLAMU?Maana chuki mliyonayo dhidi ya uislamu ni kubwa sana na si ajabu kutunga uongo kila uchao, ili kuipaka matope dini hii lakini haitasaidia kitu,Allah (Sw)atailinda mpaka kiyama
Allah anailinda au yeye ndiye analindwa unadhani hatuoni huu udhahiri?
 
majini na mapepo yapo makanisani,ndipo napotoana huko kila siku,ushawahi kuskia muislam katolewa jini mskitini?

Shikamana na Adabu,
Msikitini huwezi kukemea mapepo na majini sababu ni party ya uislamu harafu utakemea kupitia jina gani?? Allah mungu wa kipagani au mudi a professional womanizer??
 
"Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo ni marejeo maovu".(Annisaa:115)

Mpaka hapo utakuwa umeelewa, au unahitaji ziada?
Mtume huyu huyu ambae hakufanyiwa sunnah na akaoa katoto ka miaka 9?
 
Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,

huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
Yaani mimi nichinje kuku nimwite muislamu?? Umerogwa wewe yaani nikaribishe majini Nyumbani kwangu??
 
Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,

huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
Naona sasa mnataka kuleta udini humu.

Ni elimu gani hiyo ambayo waumini wa kiislamu wamewazidi wakristo? Kwa takwimu zipi?

Hebu acheni udini wenu hapa.
 
Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,

huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
kwa hiyo jina Dar es Salaam ni la kiislam sio kiarabu,hivi kinachofanya liwe la kiislamu ni maana au lugha?kuanzia leo anza kujifunza kikwenu ukianza na amani iwe kwenu.
 
kwa hiyo jina Dar es Salaam ni la kiislam sio kiarabu,hivi kinachofanya liwe la kiislamu ni maana au lugha?kuanzia leo anza kujifunza kikwenu ukianza na amani iwe kwenu.
Ni la Kiislaam, lipo ndani ya Qur'an. Halikupatapo kutajwa kabla ya kutajwa ndani ya Qur'an.
 
Back
Top Bottom