Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Aache ufala,kwani wa kwanza yeye kufungwa hapo?
Kaizer chiefs walikula 3 buyu wakatulia kimyaaaaaa
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nyie wazoefu wa CAS mpeni masaada wa kisheria akashitaki CAS .Hawaja tutreat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje?
Kocha mkuu wa Orlando pirates Mandla Cinkazi.
haya pole kwa maumivNyie shukuruni zile koraani zilizosomwa hapo kuanzia asubuhi kabla ya mechi
Wanashangaza snTeam imekuja siku moja kabla ya mechi halafu imefungwa wanalalamika.
Wawezatupatia ushahidi,au ni ChUKI TU DHIDI YA UISLAMU?Maana chuki mliyonayo dhidi ya uislamu ni kubwa sana na si ajabu kutunga uongo kila uchao, ili kuipaka matope dini hii lakini haitasaidia kitu,Allah (Sw)atailinda mpaka kiyamaNani asiyejua Uislamu umegubikwa na majini ndani yake, hata majini yenu kufanya kazi huwa mnasoma hiyo quran
Allah anailinda au yeye ndiye analindwa unadhani hatuoni huu udhahiri?Wawezatupatia ushahidi,au ni ChUKI TU DHIDI YA UISLAMU?Maana chuki mliyonayo dhidi ya uislamu ni kubwa sana na si ajabu kutunga uongo kila uchao, ili kuipaka matope dini hii lakini haitasaidia kitu,Allah (Sw)atailinda mpaka kiyama
Majini kutolewa msikitini ni sawa na kuhamisha pesa mfukoni mwako kwenda mfuko wako mwingine.majini na mapepo yapo makanisani,ndipo napotoana huko kila siku,ushawahi kuskia muislam katolewa jini mskitini?
Shikamana na Adabu,
LETE USHAHIDI WA HUO UDHALILIAllah anailinda au yeye ndiye analindwa unadhani hatuoni huu udhahiri?
Hakuna aliyewalazimisha muendelee kuwa dini moja na majini you better step downTena ni zaidi yapunguani, jamaa linaachuki ya ajabu
Sahihi kabisa eti majamaa yanamtetea mudi hadi yanachinja watu hahahaaaa wewe mtukane Yesu upendavyo,choma biblia zote hutaona mkristo anakugusa what we believe Mungu ni mkuu sana hapiganiwi na binadamu atakuadhibu mwenyewe kwa wakati wake
Msikitini huwezi kukemea mapepo na majini sababu ni party ya uislamu harafu utakemea kupitia jina gani?? Allah mungu wa kipagani au mudi a professional womanizer??majini na mapepo yapo makanisani,ndipo napotoana huko kila siku,ushawahi kuskia muislam katolewa jini mskitini?
Shikamana na Adabu,
Mtume huyu huyu ambae hakufanyiwa sunnah na akaoa katoto ka miaka 9?"Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo ni marejeo maovu".(Annisaa:115)
Mpaka hapo utakuwa umeelewa, au unahitaji ziada?
Yaani mimi nichinje kuku nimwite muislamu?? Umerogwa wewe yaani nikaribishe majini Nyumbani kwangu??Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,
huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
Hahahaaaa hawa ni mapunguani sana Allah analindwa etiAllah anailinda au yeye ndiye analindwa unadhani hatuoni huu udhahiri?
Naona sasa mnataka kuleta udini humu.Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,
huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
kwa hiyo jina Dar es Salaam ni la kiislam sio kiarabu,hivi kinachofanya liwe la kiislamu ni maana au lugha?kuanzia leo anza kujifunza kikwenu ukianza na amani iwe kwenu.Mkuu hao mazezeta wasikusumbue hapa Tanzania watu wa kwanza kuelimika na kuwa matajiri walikuwa waislam kabla ya yule mzee anayejiita wa taifa kutugeuka mbeleni kwani hata majina na baadhi ya mitaa ya dar es salaam ni waislam ndio walitoa majina kipindi hicho wanafuga nguruwe,
huko mikoania hawajui hata dar es salaam ni jina lilitokana na waislam likimaanisha nyumba ya amani ubaya sisi wazee wetu walichagua kusoma Quran wakaacha upande wa pili leo ndo jeuri zote hizo na ujanja wao wote huo wakitaka kuchinja kuku wanawatafuta waislam inamaana bible yote haijaelezea jinsi ya kuchinja kuku na bado wanajiona wapo sahihi.
Ni la Kiislaam, lipo ndani ya Qur'an. Halikupatapo kutajwa kabla ya kutajwa ndani ya Qur'an.kwa hiyo jina Dar es Salaam ni la kiislam sio kiarabu,hivi kinachofanya liwe la kiislamu ni maana au lugha?kuanzia leo anza kujifunza kikwenu ukianza na amani iwe kwenu.