Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa ondoa wachezaji waliozeekaKwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Kabisa..Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Subiri Jumapili ushuhudie majembe ya kocha NABIKwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Ni kweli nilikosea hapo badala ya CAFCL nimesema CAFCC na nimeshawapa Moderators wanirekebishie. Poleni kwa Usumbufu huo.Ni CAFCL Boss, sisi sio losers
Pole ya nini tena? Simba SC Jana haijafungwa bali imetolewa kwa Mikwaju ya Penati.Pole sana mkuu ....ndio mpira
Simba kapigwa 1 bila ikaja mikwaju akalaliwa pia ..povu ruksa ...ndio hivyo muwahi lipuli na ihefu ...Pole ya nini tena? Simba SC Jana haijafungwa bali imetolewa kwa Mikwaju ya Penati.
Kufungwa ni dakika 90 hadi 120 na Kutolewa ni kwa ama Mikwaju ya Penati au kwa Uwiano ( aggregate ) ya Magoli.
Punguzeni Upumbavu na Ushamba.
Mimi ni Yanga na kwa hili nakubali ni ukweli mtupuKwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Samahani katika Kichwa cha Habari ( Headline ) nimeandika CAFCC ila ninayoimaanisha ni CAFCL.
Moderators Active, YinYang na JamiiForums nitashukuru mkinirekebishia hapo.
Majibu ya Kipumbavu kutoka kwa Wapumbavu kama hili niliyategemea sana tu hivyo sijashangaa.Kufa ni kufa tu, mmeumsliza mwendo, Imani yenu ya qota final mmeilinda. Jaribu tena mwakani.
Subiri Jumapili ushuhudie majembe ya kocha NABI
Uliotukuka.Mkurya Katika Ubora Wako
Alicheza namba ngapi??Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.
Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Ya anayokukaza 24/7Alicheza namba ngapi??
Mpumbavu ni yule anayewqfanya watu wengine wamuone bora kuliko ubora aliokuwa nao. Wewe ni mmojawapo wa wapumbavu???Ya anayokukaza 24/7