Kocha wa Simba SC Robertinho akisajiliwa Wachezaji Majembe Msimu ujao Simba SC inafika Fainali CAFCL

Kocha wa Simba SC Robertinho akisajiliwa Wachezaji Majembe Msimu ujao Simba SC inafika Fainali CAFCL

Nijuavyo mimi simba haijafika nusu fainali.Hiz ni mechi za mzunguko wa robo kuitafuta Nusu, au nakosea kuelewa ?
 
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.

Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
kabisa ondoa wachezaji waliozeeka
 
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.

Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Kabisa..
Kwa MKAPA ingeweza kumalizam mechi..
Winbacks, kiungo mnyumbulifu and skilled.
Wing attacker ( left foot and fast)
 
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.

Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Subiri Jumapili ushuhudie majembe ya kocha NABI
 
Pole sana mkuu ....ndio mpira
Pole ya nini tena? Simba SC Jana haijafungwa bali imetolewa kwa Mikwaju ya Penati.

Kufungwa ni dakika 90 hadi 120 na Kutolewa ni kwa ama Mikwaju ya Penati au kwa Uwiano ( aggregate ) ya Magoli.

Punguzeni Upumbavu na Ushamba.
 
Pole ya nini tena? Simba SC Jana haijafungwa bali imetolewa kwa Mikwaju ya Penati.

Kufungwa ni dakika 90 hadi 120 na Kutolewa ni kwa ama Mikwaju ya Penati au kwa Uwiano ( aggregate ) ya Magoli.

Punguzeni Upumbavu na Ushamba.
Simba kapigwa 1 bila ikaja mikwaju akalaliwa pia ..povu ruksa ...ndio hivyo muwahi lipuli na ihefu ...
 
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.

Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.

Samahani katika Kichwa cha Habari ( Headline ) nimeandika CAFCC ila ninayoimaanisha ni CAFCL.

Moderators Active, YinYang na JamiiForums nitashukuru mkinirekebishia hapo.
Mimi ni Yanga na kwa hili nakubali ni ukweli mtupu
 
Kufa ni kufa tu, mmeumsliza mwendo, Imani yenu ya qota final mmeilinda. Jaribu tena mwakani.
Majibu ya Kipumbavu kutoka kwa Wapumbavu kama hili niliyategemea sana tu hivyo sijashangaa.
 
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali bali itafika hadi Fainali kabisa.

Pongezi nyingi Kwake Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera kwani ni Bonge la Kocha na nauomba Uongozi wa Simba SC upesi sana umuongezee Mkataba tena ikiwezekana ili atufanyie makubwa apewe Mkataba mrefu wa kati ya Miaka Mitatu au Mitano.
Alicheza namba ngapi??
 
Back
Top Bottom