Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hukuisoma vizuri au hujaiyelewa rudi uisome vizuri na uitafakari
Nadhani utaiyelewa nini nilicho kikusudia.
Habari wanaBodi
, Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Noij atimuliwa kazi.
Chanzo : Blogspots
na nyie sasa mmezidi tatu bila tena? tyuppppppppppp
Kocha na hao malinzi na mfumo wao wote tatizo....
Maneno huumba, dawa tuandae mechi moja ya kirafiki na timu yoyote, tukiifunga tumlazimishe R/M/JMT/ Mwinyi atamke hadharani kuwa Tanzania is no longer and will never be kichwa cha mwendawazimu any more... Inabidi tufanye haraka maana jamaa keshagonga 90..!malinzi.kocha benchi la ufundi wote niwendawazim tupumzike tuu mpira
Huwezi kunielewa mana mm na ww ni tofauti mm ubongo wangu hakuhasiwa kama wako.
Ubongo ulio hasiwa ufanisi wake ni hafifu sana hauwezi kungamuwa maana halisi.
Lazima uchakachuwe.
Hawa TFF walistahili kufukuzwa,tangu malinzi aanze tumeungwa mechi 15 na kushinda mbili halafu hawashtuki,hawa mdo walistahili kufukuzwa,sasa hivi mashindano yote tushatolewa tunasubiri yapi sasa