demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kamati ya Utendaji ya shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) imekutana usiku huu.
Kikao hiki kimefanyika mara baada ya Matokeo mabovu yaliyo shuhudiwa katika mechi ya Tanzania ( Taifa Stars) dhidi ya Uganda (The Cranes).
Maamuzi yaliyoafikiwa ni pamoja na
1. Kusitishwa kwa ajila ya Kocha mkuu Maart NOOIJ rasmi kuanzia tar 21/06/2015.
2.Benchi lote la ufundi limevunjwa kuanzia tar 21/06/2015.
3 . Uongozi wa TFF utatangaza hivi punde benchi jipya la Ufundi.
Habari hii imetolewa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kupitia account yake ya FACEBOOK.
Kikao hiki kimefanyika mara baada ya Matokeo mabovu yaliyo shuhudiwa katika mechi ya Tanzania ( Taifa Stars) dhidi ya Uganda (The Cranes).
Maamuzi yaliyoafikiwa ni pamoja na
1. Kusitishwa kwa ajila ya Kocha mkuu Maart NOOIJ rasmi kuanzia tar 21/06/2015.
2.Benchi lote la ufundi limevunjwa kuanzia tar 21/06/2015.
3 . Uongozi wa TFF utatangaza hivi punde benchi jipya la Ufundi.
Habari hii imetolewa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kupitia account yake ya FACEBOOK.