nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Hii kauli imewatibua sana wana yanga haikubaliki inaonekana kama kakata tamaa au anauza mechi ya kesho, wan yanga inabidi wawe naye makini sana huyu mwarabu,yaani anaisifia simba kwa kandanda safi?
Utalinganisha mibichwa ya sarpong?michenga ya tusila kisinda,mi control ya kalinyo,mi saves ya shikhalo na wachezaji wa mikia? hapa wanayanga tumepigwa hapa.
Utalinganisha mibichwa ya sarpong?michenga ya tusila kisinda,mi control ya kalinyo,mi saves ya shikhalo na wachezaji wa mikia? hapa wanayanga tumepigwa hapa.