nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
- #21
labda kesho atoe draw au ashinde akipigwa kipigo cha mbwa koko ajue hana kaziKwangu Shem naiona ni kauli ya kawaida ya kiuanamichezo.
Tatizo sisi mashabiki hasa wa hizi timu mbili tumekua katika makuzi ya kuwa negative hivyo hata sishangai wewe kumshangaa huyo kocha kiasi hicho. 😀