nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
hahahahaha wanalalamika sana hiyo kauliDooooh kimeumana! Utopolo sijui kama watamwacha salama huyu jamaa
tukianza na wewe boss, unaionaje hiyo kauli? ila kiukweli simba inaleta taswira nzuri sana ya soka la bongo afrika kutokana na kandanda safi,mtunisia kasema ya moyoniTupostie na mashabiki wa yanga wanaolalamika.. Isije ikawa mbu mbu mbu mnatengeneza propaganda zenu..
ni jambo jema sana kwamba unakubaliana na hiyo kauli, this is simbaa home of pira chips mayai soka safiMbona mimi haijanitibua?
unakubaliana na hiyo kauli shemeji shadeeya? kumbe kule champions league huwa tunailetea nchi yetu taswira safi? sikujua aiseeeNadhani nyie mikia ndo mnakuza mambo. Mbona hiyo ni kauli ya kawaida kabisa au mlitaka asemeje?
#Achenipropaganda.
kwa simba kila goti litapigwa sasa nyoka wametoka pangoni ,kumbe mnajua pira biyani linapopatikana siyo?Hapa kaongelea taswira nzuri ya mpira wa Tanzania ni maneno mazuri, unaona hata wale wachezaji wa zamani wa Man u au Arsenal linapokuwa suala la kufanya vizuri team kama City na Chelsea wanasema ni taswira nzuri ya EPL. Hajasema kitu kibaya.
Hii kauli imewatibua sana wana yanga haikubaliki inaonekana kama kakata tamaa au anauza mechi ya kesho, wan yanga inabidi wawe naye makini sana huyu mwarabu,yaani anaisifia simba kwa kandanda safi?
Utalinganisha mibichwa ya sarpong?michenga ya tusila kisinda,mi control ya kalinyo,mi saves ya shikhalo na wachezaji wa mikia? hapa wanayanga tumepigwa hapa
View attachment 1776328
Kwangu Shem naiona ni kauli ya kawaida ya kiuanamichezo.unakubaliana na hiyo kauli shemeji shadeeya? kumbe kule champions league huwa tunailetea nchi yetu taswira safi? sikujua aiseee