πππππππ tuko pamoja
Hamna hata kibaya hapo.Mbona mimi haijanitibua?
kumbe afrika tunapiga kandanda safi? nilijua tunakiwasha sababu ya corona? mbona hamueleweki sasa?Hamna hata kibaya hapo.
Aposti mashabiki wa nini kwani Wewe sio shabiki.Tupostie na mashabiki wa yanga wanaolalamika.. Isije ikawa mbu mbu mbu mnatengeneza propaganda zenu..
πππ nimerudia hii clip mara 6, huyu hajawajua utopoz vizuri huyu, vyura wanatakiwa kuwapa liheso makochawao wapya maana huko wanakotoka wanaijua SIMBA tu sasa watawaoneaburetuπππ.Huyu kocha hata siku anatambulishwa aliitaja Simba kwa makosa badala ya Yanga