Mbona kama wewe ndio unateseka
Unawaelezea wale wasio na akili isipokuwa wawili?Night ya kuamkia Leo baada ya Yanga kutangaza kwa Mbwembwe zote kuwa bado hawajamaliza Basi wananchi wakawa shocked, nikaijiwa night ile na wadau eti Manzoki katua yanga mara Kuna mwanaume alikuwa anakipiga raja Casablanca tumemnunua fedha ya kutosha , kwa msisito ety yanga wanamtangaza saa 00:01 am, nkasema heeh !
Sasa muda wa kutangazwa ulipofika, sikuona chura akirukaruka kunifuata, najiuliza kulikon? Ikabid niingie online, kucheck, ety Nabi kasaini mkataba mpya na kwamba bado yupo yupo, niliangua kicheko kikuu [emoji23][emoji1787].
Tumeamka naona simwoni Mwananchi yeyote akinisumbuasumbua!
Uto sometimes muwe na akili kidogo, mahaba yanawapa uchizi
Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) usiku huu imetangaza kumsainisha mkataba mpya Kocha wao Nasredeen Nabi...
Mateso bado yapo pale pale wajiandae tu naona wanazidi kujaza ma okra,opa,okwa,oprah,aphra..duh wamrudishe na Okwi sasa
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa hivi wanatafuta kingine cha kuongea maana wamepigwa kote kote, walianza na mayele kasajiliwa kaiser chief na wale wahandish wao wa mchongo kina Nuhu adam, micky wakapigwa za uso, wakahamia kwa Aziz ki kuwa awezi kusajiliwa yanga wakachpwa KO, wakaona mambo yamebuma wakahamia kwa Nabi napo wamegonga mwamba, Sasa sijui wanaandaa script gani nyingineMabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) usiku huu imetangaza kumsainisha mkataba mpya Kocha wao Nasredeen Nabi...
[emoji1787][emoji23]Unawaelezea wale wasio na akili isipokuwa wawili?
Ina ukubwa gani? Au kumsajili Aziz Ki na Morison ndio Ukubwa? na Joyce na Kambole?Klabu kubwa Afrika mashariki na kati.View attachment 2314634
Wale wanaopenda nyuma uwepo mwiko....Unawaelezea wale wasio na akili isipokuwa wawili?
Hapana, amewaeleza wale ambao timu nzima ni mbumbumbuUnawaelezea wale wasio na akili isipokuwa wawili?
Hujalala kwa kihoro, Kuna mdogo wangu naye ni kolo mwenzio, hakulala sababu ya kihoro.Night ya kuamkia Leo baada ya Yanga kutangaza kwa Mbwembwe zote kuwa bado hawajamaliza Basi wananchi wakawa shocked, nikaijiwa night ile na wadau eti Manzoki katua yanga mara Kuna mwanaume alikuwa anakipiga raja Casablanca tumemnunua fedha ya kutosha , kwa msisito ety yanga wanamtangaza saa 00:01 am, nkasema heeh !
Sasa muda wa kutangazwa ulipofika, sikuona chura akirukaruka kunifuata, najiuliza kulikon? Ikabid niingie online, kucheck, ety Nabi kasaini mkataba mpya na kwamba bado yupo yupo, niliangua kicheko kikuu [emoji23][emoji1787].
Tumeamka naona simwoni Mwananchi yeyote akinisumbuasumbua!
Uto sometimes muwe na akili kidogo, mahaba yanawapa uchizi
Mwaka huu mtavaa vyupi kichwani mlisema hatuna hela za kumlipa sasa hivi mmegeuza wimbo anyway August 13 tuna anzia tulipo ishiaNight ya kuamkia Leo baada ya Yanga kutangaza kwa Mbwembwe zote kuwa bado hawajamaliza Basi wananchi wakawa shocked, nikaijiwa night ile na wadau eti Manzoki katua yanga mara Kuna mwanaume alikuwa anakipiga raja Casablanca tumemnunua fedha ya kutosha , kwa msisito ety yanga wanamtangaza saa 00:01 am, nkasema heeh !
Sasa muda wa kutangazwa ulipofika, sikuona chura akirukaruka kunifuata, najiuliza kulikon? Ikabid niingie online, kucheck, ety Nabi kasaini mkataba mpya na kwamba bado yupo yupo, niliangua kicheko kikuu [emoji23][emoji1787].
Tumeamka naona simwoni Mwananchi yeyote akinisumbuasumbua!
Uto sometimes muwe na akili kidogo, mahaba yanawapa uchizi
Wenye akili wamuuzia hisa 49% kwa 20bil huku mdhamini akitoa 26.1 bil kwa miaka tano.Night ya kuamkia Leo baada ya Yanga kutangaza kwa Mbwembwe zote kuwa bado hawajamaliza Basi wananchi wakawa shocked...
.Night ya kuamkia Leo baada ya Yanga kutangaza kwa Mbwembwe zote kuwa bado hawajamaliza Basi wananchi wakawa shocked, nikaijiwa night ile na wadau eti Manzoki katua yanga mara Kuna mwanaume alikuwa anakipiga raja Casablanca tumemnunua fedha ya kutosha , kwa msisito ety yanga wanamtangaza saa 00:01 am, nkasema heeh !
Sasa muda wa kutangazwa ulipofika, sikuona chura akirukaruka kunifuata, najiuliza kulikon? Ikabid niingie online, kucheck, ety Nabi kasaini mkataba mpya na kwamba bado yupo yupo, niliangua kicheko kikuu [emoji23][emoji1787].
Tumeamka naona simwoni Mwananchi yeyote akinisumbuasumbua!
Uto sometimes muwe na akili kidogo, mahaba yanawapa uchizi