Kocha wa Yanga, Prof Nabi asaini mkataba mpya Yanga

Kocha wa Yanga, Prof Nabi asaini mkataba mpya Yanga

Hata Morrison mlisema kasaini yanga mkapost na picha yupo na engineer feki wameshika mikataba kilichotokea baada ya hapo ni maumivu hii cinema ya nabi itajulikana tu mwisho wake .
 
Klabu kubwa Afrika Mashariki na Kati.
IMG-20220805-WA0005.jpg
IMG-20220805-WA0004.jpg
 
HERE WE GOOOO

Wale wachambuzi wa tetesi za mchongo sijui mtaweka wapi sura zenu *****
 
Back
Top Bottom