Kocha wa Yanga, Prof Nabi asaini mkataba mpya Yanga

Usiku wa kuamkia leo tarehe 5/8/2022 kumeibuka tetesi zinazodai kwamba aliyekuwa kocha wa Yanga Nasreddine Nabi aamesaini mkataba mpya wa kumuwezesha kuendelea kubaki Yanga kwa miaka mingine miwili.

Awali kulikuwa na tetesi kuwa Kocha huyu anafanya mazungumzo na timu FAR Rabat na kuna uwezekano mkubwa wa kukubali dili hilo nono. Nasreddine Nabi amaemaliza mkataba wake wa kuitumikia timu ya Yanga ambapo alisaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu tarehe 20/4/2021.
 
Ina ukubwa gani? Au kumsajili Aziz Ki na Morison ndio Ukubwa? na Joyce na Kambole?
Acha kubishana na ukweli. Kama Pepe Kalle mwenyewe alikiri kupitia wimbo wake maarufu wa Yanga Afrika!

Wewe ni nani mpaka ubishe?
 
Tutakukuna unapowashwa
 
Taarifa mbaya sana hii kwa wale wenzangu wanao badili makocha kila msimu.
 
Kwa mtazamo wangu, Nabi angeondoka kipindi hiki bado ana heshima.
Atakuja aondoke kwa dharau
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni jambo zuri. Maana kuna wanga walishaanza kuchonga na kuiombea timu mabaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nani wa kuiombea mabaya team ya wa Yemen koko?? Sasa huyo nabi ana kipi cha kuonewa jicho la husda?? Mmeshikwa pabayaaa.

Woooooooiiii, byuti byuti.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wenye akili wamuuzia hisa 49% kwa 20bil huku mdhamini akitoa 26.1 bil kwa miaka tano.

Hii issues ni swala la muda ila kikinuka ndio tutajua mbichi na mbivu,manake kwa duniani hii imetokea Simba pekee yake.
Wee mbna unalia sanaaa?? Vipi una hisa zako pale msimbazi??
Badala uzungumzie team yako, kutwaa mikataba ya chama kubwa


Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…