Kizibo JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 4,033 Reaction score 8,805 Aug 5, 2022 #41 ukikaidi utapigwa2 said: Una machungu sana hasa ukimkumbuka mmadird wenu Click to expand... Bahati nzuri sana Muda hausimami na haijawahi kutokea muda ukadanganya
ukikaidi utapigwa2 said: Una machungu sana hasa ukimkumbuka mmadird wenu Click to expand... Bahati nzuri sana Muda hausimami na haijawahi kutokea muda ukadanganya
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Aug 5, 2022 #42 Hata Morrison mlisema kasaini yanga mkapost na picha yupo na engineer feki wameshika mikataba kilichotokea baada ya hapo ni maumivu hii cinema ya nabi itajulikana tu mwisho wake .
Hata Morrison mlisema kasaini yanga mkapost na picha yupo na engineer feki wameshika mikataba kilichotokea baada ya hapo ni maumivu hii cinema ya nabi itajulikana tu mwisho wake .
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 41,015 Reaction score 93,277 Aug 5, 2022 #43 Klabu kubwa Afrika Mashariki na Kati.
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Aug 5, 2022 #44 Kizibo said: Bahati nzuri sana Muda hausimami na haijawahi kutokea muda ukadanganya Click to expand... Nnacho jua bado yupo hayo mengine kaa nayo wewe na ramuli zako
Kizibo said: Bahati nzuri sana Muda hausimami na haijawahi kutokea muda ukadanganya Click to expand... Nnacho jua bado yupo hayo mengine kaa nayo wewe na ramuli zako
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Aug 5, 2022 #45 HERE WE GOOOO Wale wachambuzi wa tetesi za mchongo sijui mtaweka wapi sura zenu *****
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,102 Reaction score 4,028 Aug 5, 2022 #46 ibanezafrica said: Mateso bado yapo pale pale wajiandae tu naona wanazidi kujaza ma okra,opa,okwa,oprah,aphra..duh wamrudishe na Okwi sasa Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... Hawa ma oOoOO ni zero brain [emoji3447]
ibanezafrica said: Mateso bado yapo pale pale wajiandae tu naona wanazidi kujaza ma okra,opa,okwa,oprah,aphra..duh wamrudishe na Okwi sasa Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... Hawa ma oOoOO ni zero brain [emoji3447]