shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Watu kwa kubadili jina mkovizuri Eti saida ramavuzichi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro kocha la mchongo humu hamnakochaSura imejaa wasiwasi na mashaka na kutojiaminiView attachment 3161780
Kusema kwamba ni 'mara ya kwanza' ndiyo kuingiwa ubaridi? Ndiyo maana viongozi wenu na wanasiasa wenu wamechagua kuishi nanyi kwa kuwadanganyeni mwanzo mwisho sababu ndiyo lugha mnayoioenda na kuielewa zaidi...UONGO!Kuelekea katika mechi za kimataifa katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Kocha Mkuu wa Yanga Sc, Sead Ramovic, amezungumza na waandishi wa Habari, akisema!
"Hii ni mara yangu ya kwanza kwenye ligi ya mabingwa. Ni jambo la kheri sana kwangu kushiriki mashindano haya makubwa nikiwa na timu kubwa ya Young Africans SC. Falsafa yangu kubwa ni nidhamu na kujituma. Napenda kuona wachezaji wakicheza kama timu, haijalishi unatumia mfumo gani kama wachezaji wako hawana umoja ni ngumu kupata matokeo’’
Yanga inatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Al Hilal ya Sudan katika uwanja wa nyumbani wa Benjamin William Mkapa.
Huyo fala."Makocha wapo kutimiza matakwa ya kanuni" Lwambano.
Mawazo ya kijinga hayo hayatakiwi kwenye mpira [ ukiambiwa uthibishe nani anajidunga utaweza]!!!Kujidunga aingezee kama kifungashio
😝😆🤣🤣😂Bigwa wa kula mandazi?
Mropokaji huyooMawazo ya kijinga hayo hayatakiwi kwenye mpira [ ukiambiwa uthibishe nani anajidunga utaweza]!!!
Dogo anaitwa Waufukwenihapo ubaridi upo wapi mbona ni sentensi zakueleweka kabisa!
Kwa nukuu hiyo ubaridi alioingia uko wapi?Kuelekea katika mechi za kimataifa katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Kocha Mkuu wa Yanga Sc, Sead Ramovic, amezungumza na waandishi wa Habari, akisema!
"Hii ni mara yangu ya kwanza kwenye ligi ya mabingwa. Ni jambo la kheri sana kwangu kushiriki mashindano haya makubwa nikiwa na timu kubwa ya Young Africans SC. Falsafa yangu kubwa ni nidhamu na kujituma. Napenda kuona wachezaji wakicheza kama timu, haijalishi unatumia mfumo gani kama wachezaji wako hawana umoja ni ngumu kupata matokeo’’
Yanga inatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Al Hilal ya Sudan katika uwanja wa nyumbani wa Benjamin William Mkapa.
Kachachamaa kweli kila mahali yupoDogo anaitwa Waufukweni
Mbumbumbu limejaaHata ujitetee vipi kurutu Kozi utapigaa
Yaani id mpya wanapuyanga sana humuKachachamaa kweli kila mahali yupo
KabisaYaani id mpya wanapuyanga sana humu
Wenye akili wameacha kuanzisha nyuzi humuKabisa