Kocha wa Yanga, Ramovic aingia ubaridi, asema ni mara yake ya kwanza ligi ya Mabingwa

Watu kwa kubadili jina mkovizuri Eti saida ramavuzichi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kusema kwamba ni 'mara ya kwanza' ndiyo kuingiwa ubaridi? Ndiyo maana viongozi wenu na wanasiasa wenu wamechagua kuishi nanyi kwa kuwadanganyeni mwanzo mwisho sababu ndiyo lugha mnayoioenda na kuielewa zaidi...UONGO!
 
Kwa nukuu hiyo ubaridi alioingia uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…