JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hakuna mahali amesema Yanga ndio itakuwa timu ya kwanza kutwaa ubingwa bila kufungwa mechi hata moja.Yanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Samahani hivi kuna tofauti ya kutwaa ubingwa bila kufungwa na kumaliza ligi bila kufungwa?Hakuna mahali amesema Yanga ndio itakuwa timu ya mwanzo kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi hata moja.
Wewe jamaa bora ungesoma tu chuo cha TEKU. Huwezi kusoma SAUT, halafu ukawa OP kiasi hiki.Yanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Pumzika tu, Yanga ni pumzi ndefu huwezi shindana nayoYanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Acha kuteseka mkuuYanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Mhurumie tuHakuna mahali amesema Yanga ndio itakuwa timu ya kwanza kutwaa ubingwa bila kufungwa mechi hata moja.
Wapi amesema yanga itakuwa timu ya kwanza kumaliza ligi bila kufungwaYanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
"Wanaoumia Ni Wengi Kuzidi Coastal Union"Yanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Umeandika kwa Jazba aisee. Kubali tu. Hiyo unayosema ni historia. Lkn sasa imekuwajeYanga SC siyo wa Kwanza kucheza Ligi Kuu na kuwa Bingwa bila Kufungwa kwani tayari Simba SC mwaka 2004 chini ya Kocha Mkenya Aggrey Siang'a (RIP) na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri ilikuwa Bingwa bila ya Kufungwa na Timu yoyote.
Nimemaliza.
Alikuwa anataka Kutulazimisha tuamini ( tujue ) hivyo akiwa amesahau kuwa kuna Wengine Mpira huu wa Bongo ( Tanzania ) si tu kwamba tunaufuatilia lakini pia tumeshaucheza kwa Ngazi zetu mbalimbali na tunaujua vile vile hivyo hakuna wa Kutudanganya.Hakuna mahali amesema Yanga ndio itakuwa timu ya kwanza kutwaa ubingwa bila kufungwa mechi hata moja.
Nonsense.Wewe jamaa bora ungesoma tu chuo cha TEKU. Huwezi kusoma SAUT, halafu ukawa OP kiasi hiki.
Nilikuwa ninamkumbusha tu huyo Popoma Mwenzenu Utopolo.Wapi amesema yanga itakuwa timu ya kwanza kumaliza ligi bila kufungwa
Na siyo Siri nina Jazba kweli kweli kwani Coastal Union FC jana wamecheza vile ambavyo sikuwaelekeza Kucheza kabisa.Umeandika kwa Jazba aisee. Kubali tu. Hiyo unayosema ni historia. Lkn sasa imekuwaje
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Utofauti upo ndio, timu inaweza ikamalaiza ligi bila kufungwa na asiwe bingwa. Kumbuka hata kutoa sare ni kutokufungwa lakini alama mbili unazipoteza. Hivyo timu ikitoa sare michezo 10 hapo unakuwa sawa sawa na aliyefungwa michezo 6 na sare mojaSamahani hivi kuna tofauti ya kutwaa ubingwa bila kufungwa na kumaliza ligi bila kufungwa?
Historia ipi hiyo?Tunaenda kuweka historia ya ajabu huko afrika mwaka huu