Kocha yupi ni bora kwa sasa Duniani?

Anza kutafuta kocha bora wa pili mkuu hapo juu muache Pep
Mie kwangu Zinedine zidane kwangu nitamuona kocha bora mbele ya pep Gurdiola tuu. Lakini huyo Pep hata ya pili inamfaa.

Zizo huu msimu wake wa Tatu pale Real Madrid lakini sijaona pesa ndefu alizomwaga kusajili wachezaji kama Pep Guardiola wa Man City ikiwa huu msimu wake wapili.
 
Mkuu pesa nyingi sio kipimo bora cha ukocha kwani pep alipokua barc mbona hakutumia pesa nyingi na alitamba tu, au pesa walizo mwaga PSG mbona wametolewa champions?

Kocha ni zaidi ya kumwaga pesa
 
Mkuu pesa nyingi sio kipimo bora cha ukocha kwani pep alipokua barc mbona hakutumia pesa nyingi na alitamba tu, au pesa walizo mwaga PSG mbona wametolewa champions?

Kocha ni zaidi ya kumwaga pesa
Kama Barc hakutumia pesa ni kitu gani anachoshindwa kukifanya akiwa Man City...?
 
Umamwaga pesa umnunue nani
Kama unae modric,kroos,isco,Ronaldo,benzema,casemiro,carvajal,Marcello, varane,na Ramos kikosi cha madrid individual ni bora sana hapo kocha no kuweka mbinu mezani tyu wanaume kazini


Unlike city alioichukua guardiola ilikuwa na vizee vingi vilivokwisha mpira,so alifanya matumizi ya lazima
 
Nitajie hivyo vizee mkuu,

Na hao uliwataja wachezaji wa Real Madridi nazani all 30 years...
 
Marcelo,kroos, Ramos,Ronaldo, Benzema, Modric All 30 Years....!!!

Lakini bado wanaendelea kuuzeka na utamua wao...
 
Kocha wa wydad Casablanca

# still messi is better than ronaldo#
 
Kweli kabsa,,, pep na huyo wa barca wanabebwa na vkosi vyao pamoja na pesa wakat wa usajiri,,, mm nlitegemea watu kama Big Sam yule wa Everton,, angalia msimu huyu Everton walikuwa na hali gani lkn leo hii wapo nafasi ya ngapi,, muangalie Roy Hogdson yule wa Swansea na sasa Swansea wapo nafasi ya ngapi,,, km Pep ni kocha bora akaichukue Stoke City ilipo leo aipandshe hadi kumi bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…