Kocha Zinedine Zidane ajiuzulu kuifundisha Klabu ya Real Madrid

Na pia kwako mkuu. Ubarikiwe kwa udadisi wa masuala mbalimbali ya soka uliotulia.
 
Mwanga wewe!
Madrid imeahinda vikombe 13 jumla vya ucl, yeye kaionhoza kushinda 3, tumia magazijuto hapa.
timu hamna mule wazee kibao inahitajika rotation ya kufa mtu ili madrid iwe moto misimu ya mbeleni hapo
amini nakuambia ufalme unarudi barca tena maana wao washafanya rotation na kikosi chao kipo standard kwa sasa
 
professor Wa kufeli anakuja, msijali mashabiki Wa Madrid Wenger is coming
Duh!
Aisee kuna uwezekano maana nafikiri ni wiki hii Wenger ktk interview kasema wakati akiwa araenal, Real wamemtaka mara tatu mida tofauti.
Mwingine Pochettino. Wanamtaka sana huyu jamaa.
 
amini nawaambieni madrid ishajifia ile usishangae msimu ujao kuboronga katika mashindano yote tena kwa aibu
jamaa kuitema kaona mbali sana
Real sio Mbao fc.. yaan na wewe hapo umeona mbali??
 
timu hamna mule wazee kibao inahitajika rotation ya kufa mtu ili madrid iwe moto misimu ya mbeleni hapo
amini nakuambia ufalme unarudi barca tena maana wao washafanya rotation na kikosi chao kipo standard kwa sasa
Wataje wazee wengi hao ukitoa Ronaldo na Modric!
 
Jamaa mjanja sana, kaona bora aondoke akiwa na heshima yake.
 
Pochettino anaenda Madrid sasa
Nami nimeliona hili

Sema wachezaji waliochukua champions league wanakuwa na ego sana hasa mbele ya kocha ambae hana cv ya kuchukua champions league kama pochetino

Ngoja tusubiri
 
Kwa mashabiki wengi wa kandanda watashtushwa na uamuzi wa ghafla wa kuachia ngazi kwa kocha kijana wa Real Madrid Mfaransa Zinedine Zidane alioutangaza mchana wa 31/5/2018 alipokua anaongea na waandishi wa habari.

Lakini kwa upande mwingine waweza kusema ameondoka muda muafaka hasa ukizingatia rekodi aliyoiweka ya kuchukua Ubingwa wa Vilabu Ulaya (Champions League) kwa mara tatu mfululizo.

Swali; Je, wewe unahisi ni kwa nini ameamua kung'atuka?
 

Naam
Swadakta kabisa
 
kwa sababu anazozijua yeye..........maana hakuna mtu aliyeweza kuingia kichwani kwake kujua amewaza nini!!
 
pengine anatafuta fursa ya kunyanyua kombe ambalo hana..WC
 
Wachezaji wengi wa Madrid viwango vyao vinazidi kushika siku baada ya siku, kuliko kuja kufukuzwa kwa aibu bora amesepa mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…