Kodi kubwa kwenye mafuta ndio chanzo kikuu cha bei ya mafuta kuwa juu nchi hii

Kodi kubwa kwenye mafuta ndio chanzo kikuu cha bei ya mafuta kuwa juu nchi hii

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
 
Pamoja na kodi kubwa, Kuna pesa imeongezwa makusudi tu na hao cartels kwa kushirikiana na....
 
Hichi ni kipindi cha DHARURA,kwani Nchi inaingia kwenye mfumuko mkubwa wa bei na maisha magumu yanazidi kuwa magumu zaidi.

Wahusika wazipunguze hizo kodi mpaka hapo mambo yatakapokuwa NORMAL hivyo mtaonesha jinsi gani Serikali inavyomjali Mwananchi.
 
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
Nchi haiendeshwi kwa maneno, inaendeshwa kwa fedha za Kodi, uipunguze ili iweje? Ukiona manesi,waalimu, Polisi, wanajeshi na serikali iko kazini, wanalipwa na hizo fedha, hakuna namna zitatolewa, na zikitolewa utazilipa kivingine.
Mafuta ni chanzo Cha kuaminika Cha Kodi kama mishahara.
 
kikosi kazi cha kutetea walamba asali kiko kazini kwenye social media kutetea maboss wao watumbua kodi, wazee wa ma vx, full viyoyozi..ubadhirifu unaosemwa kila mwaka kwenye reports za CAG na kugeuka kama sinema vile

Halafu wewe unasema kodi ipunguzwe? ina maaana bata lao lipunguzwe siyo? never ..over their dead bodies WANUKA JASHO hilo ni zigo lenu
 
Hichi ni kipindi cha DHARURA,kwani Nchi inaingia kwenye mfumuko mkubwa wa bei na maisha magumu yanazidi kuwa magumu zaidi.

Wahusika wazipunguze hizo kodi mpaka hapo mambo yatakapokuwa NORMAL hivyo mtaonesha jinsi gani Serikali inavyomjali Mwananchi.
kubana mkanda ni kwa wanuka jasho siyo walamba asali wao ni business as usual wanakula hadi wanavimbiwa ubadhirifu na upigaji kila kona
 
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
Watu walio mkoani KILIMANJARO watujuze nasikia wanaenda kununua petroli/dizeli nchini KENYA bei poa.
 
Nchi haiendeshwi kwa maneno, inaendeshwa kwa fedha za Kodi, uipunguze ili iweje? Ukiona manesi,waalimu, Polisi, wanajeshi na serikali iko kazini, wanalipwa na hizo fedha, hakuna namna zitatolewa, na zikitolewa utazilipa kivingine.
Mafuta ni chanzo Cha kuaminika Cha Kodi kama mishahara.
Tatizo ni kutegemea vianzio vya kodi vile vile.Zamani ilikuwa sigara watu wakaacha kuvuta sigara kwa sababu za kiafya.
Wakitegemea mapato ya beer,nao wananchi wakashindwa kumudu bei wakaaachana nazo.
Mazao ya biashara nayo yameshuka sana sababu ya utiltili wa kodi.
Punguza matumizi ya Bunge kuwa na wabunge wachache.
Achana au simamisha miradi ya misifa isiyo na tija.
 
Tatizo ni kutegemea vianzio vya kodi vile vile.Zamani ilikuwa sigara watu wakaacha kuvuta sigara kwa sababu za kiafya.
Wakitegemea mapato ya beer,nao wananchi wakashindwa kumudu bei wakaaachana nazo.
Mazao ya biashara nayo yameshuka sana sababu ya utiltili wa kodi.
Punguza matumizi ya Bunge kuwa na wabunge wachache.
Achana au simamisha miradi ya misifa isiyo na tija.
Hao utabishana nao hadi ukome, kikosi kazi hicho kiko mitandaoni tangu juzi kuwaaambia wanuka majasho wasikasirike kupigika na maisha magumu sababu ni haki yao kulala njaa
 
Ngoja tupalilie moyo jombaaaa...
Never seen before chaliii yangu

IMG-20220506-WA0058.jpg
 
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
Kazi ya upinzani ni kuonesha kuwa wangelikuwa wao wanaongoza hali ingekuwa tofauti!
 
Hao utabishana nao hadi ukome, kikosi kazi hicho kiko mitandaoni tangu juzi kuwaaambia wanuka majasho wasikasirike kupigika na maisha magumu sababu ni haki yao kulala njaa
Hapo ndipo unakutana na chawa mshambuliaji The Sunk Cost Fallacy huku akisaidiana na chawa mkabaji CM 1774858 hawa ndio watakushambulia vikali ukisema waziri wa Nishati ni kiazi akiongozwa na boss wake
 
Wanapenyeza kodi lukuki wakisingizia vita vya Russia na Ukraine...
 
Extrovert ,

Acha niendelee kuwa chawa kwa masilahi makubwa ya nchi yangu,


Hizo kodi kubwa zimeanza lini?
Ukzungumzia maslahi mapana ya taifa utakuwa unakosea. Kwa ushenzi unaoendelea ukiwa mshabiki sema unafanya hilo kwa maslahi mapana ya kibarua chako...period
 
1 Litre of Petrol

1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5

Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162

Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta🤣 Tanzania nchi yaanguu..!
 
Back
Top Bottom