Kodi kubwa kwenye mafuta ndio chanzo kikuu cha bei ya mafuta kuwa juu nchi hii

Kodi kubwa kwenye mafuta ndio chanzo kikuu cha bei ya mafuta kuwa juu nchi hii

Pamoja na kodi kubwa, Kuna pesa imeongezwa makusudi tu na hao cartels kwa kushirikiana na....
Bei ya mafuta mpaka bandarini tumeambiwa ni 1167 kwa lita... Kodi zote ni karibia 1700 sasa hiyo cartels zimeongezaje?
 
Nchi haiendeshwi kwa maneno, inaendeshwa kwa fedha za Kodi, uipunguze ili iweje? Ukiona manesi,waalimu, Polisi, wanajeshi na serikali iko kazini, wanalipwa na hizo fedha, hakuna namna zitatolewa, na zikitolewa utazilipa kivingine.
Mafuta ni chanzo Cha kuaminika Cha Kodi kama mishahara.
Haya ni mawazo ya mtu ambaye akili yake imefikia ukomo wa kufikiri na kuja na alternatives... Niambie kodi ya barabara sijui, kodi ya reli je kwenye bajeti ya kila mwaka hakuna pesa za hiyo miundombinu?? Kuna kipindi reli ya Dar to Moshi ilikufa kibudu kabisaa for many years Mpaka majuzi alipoufufua JPM, je hizo fedha zilikuwa zinaenda wapi? Haya angalia eti tozo kwa ajili ya kuweka vinasaba ili watu wasikwepe kulipa ushuru nayo eti kila lita wanakata. Kumbuka hapo kwa mwezi mmoja kwa mujibu wa maelezo ya mbunge Shabiby nchi inatumia lita 400 milioni, sasa zidisha mara 12 months ni kiasi gani cha fedha kama siyo mabilioni?? Vinasaba gani hivyo vinagharimu fedha nyingi hivyo kama siyo kuibiana? Haya kuna agencies kibao wsmewekewa kodi humo wakati hiyo kazi angepewa mmoja tuu ili kuondoa mzigo wa kodi?? Acheni kufanya watu mafala.
 
Hicho kichwa tumia kufikiri,usifanye stoo ya meno
Haya ni mawazo ya mtu ambaye akili yake imefikia ukomo wa kufikiri na kuja na alternatives... Niambie kodi ya barabara sijui, kodi ya reli je kwenye bajeti ya kila mwaka hakuna pesa za hiyo miundombinu?? Kuna kipindi reli ya Dar to Moshi ilikufa kibudu kabisaa for many years Mpaka majuzi alipoufufua JPM, je hizo fedha zilikuwa zinaenda wapi? Haya angalia eti tozo kwa ajili ya kuweka vinasaba ili watu wasikwepe kulipa ushuru nayo eti kila lita wanakata. Kumbuka hapo kwa mwezi mmoja kwa mujibu wa maelezo ya mbunge Shabiby nchi inatumia lita 400 milioni, sasa zidisha mara 12 months ni kiasi gani cha fedha kama siyo mabilioni?? Vinasaba gani hivyo vinagharimu fedha nyingi hivyo kama siyo kuibiana? Haya kuna agencies kibao wsmewekewa kodi humo wakati hiyo kazi angepewa mmoja tuu ili kuondoa mzigo wa kodi?? Acheni kufanya watu mafala.
 
Hawa Cartel wameweka kodi kubwa sana na wanapata faida kuliko wauzaji wa huko Uarabuni kama vip wafanye biashara ili wapate faida zaidi maana wapo radhi Wananchi wapate aina yeyote ya tabu ili mradi wao wapate kodi tuu...
 
Wao wanaamini ktk kodi zaidi kuliko katika kuongeza uzalishaji. Wao upewa KILA kitu bure, ikiwemo mafuta hivyo ni ngumu kuona maumivu.
 
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
Samia ndio aliziweka hizo Kodi? Hizo Kodi zinaenda kulisha watoto wa Mwigulu?

Na Nchi hizi zingine Nako Kuna Kodi kubwa ndio maana bei imepanda?👇

20220507_122014.jpg
 
Waulizeni watawala wanatoza kodi kiasi gani kwa kill lita moja ya mafuta yanayoingia nchini ndio mtajua nini hasa chanzo cha hizi bei kuwa juu.

Sasa kwakuwa kodi ziko juu, issue ya vita inafanya bei ambazo teyari ziko juu, ziwe juu zaid na hiki ndio kinatutesa leo hii.

Suluhisho ni kwa serikali kupunguza kodi au kutoa ruzuku kwenye hii sekta wakati vita ya Russian na Ukraine ikiendelea na hata ikiisha.

Swali ni je, serikali ikishusha kodi, hiyo kodi wataifidia kutoka vyanzo gani?

Wakisema watoe ruzuku kwenye eneo hili, je, wana uwezo huo ukizingatia gharama itakuwa ni kubwa?

Katika hili swala la mafuta, serikali imeshikwa pabaya, hivyo tujiandae tu kwa maumivu.

Tuanze sasa mkakati wa kutumia gesi yetu kuendeshea magari kwani tutapunguza uhitaji wa mafuta kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tutakuwa tumepunguza uhitaji wa dola dhidi ya shillingi yetu Katika eneo hili na hivyo ku-boost shillingi yetu kwa kiasi fulani dhidi ya dola.

Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom