Fikiria unaagiza gari chakavu (used car) nje ya nchi, ikifika TRA, TBS, TPA Kodi na ushuru usio wa kikodi huu hapa,
Kwa mfano,
I. Discovery 3 Kodi tu 18m TZS,
II. Ford Ranger kodi tu 30m TZS,
III. PRADO Kodi tu 35m TZS (TRA wanaipata bure tu).
Halafu hiyo Kodi unaenda kumnunulia mtu mmoja V8 Land cruiser la 600m TZS (full-service, mafuta, dereva) na posho za anasa. Tutaendelea namna hii? VAT 18% Ni maumivu hakika. Shule hazina madawati
Kwa mfano,
I. Discovery 3 Kodi tu 18m TZS,
II. Ford Ranger kodi tu 30m TZS,
III. PRADO Kodi tu 35m TZS (TRA wanaipata bure tu).
Halafu hiyo Kodi unaenda kumnunulia mtu mmoja V8 Land cruiser la 600m TZS (full-service, mafuta, dereva) na posho za anasa. Tutaendelea namna hii? VAT 18% Ni maumivu hakika. Shule hazina madawati