Kodi Kubwa, matumizi makubwa kwa anasa!

Kodi Kubwa, matumizi makubwa kwa anasa!

Nimeishi London uk miaka saba sijawahi ona misafara mirefu ya ajabu hivi, yaana hata malkia uingereza msafara wake haujafika nusu ya hapo, ila huku kwetu dah! Hii misafara yetu nasikia ina mawaziri, mkuu wa mkoa/wilaya, viongozi waandamizi serikalini ni kama vile Rais anatembea na serikali yake
 
Nimeishi London uk miaka saba sijawahi ona misafara mirefu ya ajabu hivi, yaana hata malkia uingereza msafara wake haujafika nusu ya hapo, ila huku kwetu dah! Hii misafara yetu nasikia ina mawaziri, mkuu wa mkoa/wilaya, viongozi waandamizi serikalini ni kama vile Rais anatembea na serikali yake
Huku hadi chawa wake anakuwepo
 
VAT angalau iwe 14-16%
Hili neno VAT imekuwa mtihani mkubwa kwa Mtanzania [emoji22][emoji22]
Kwenye bajeti ya wizara ya fedha niliona inatakiwa ianzie 200m au 100m hii ina maana gani? Mbona hata ukinunua luku kuna VAT [emoji119][emoji119] mwenye uelewa wa haya mambo tupe elimu...

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Hili neno VAT imekuwa mtihani mkubwa kwa Mtanzania [emoji22][emoji22]
Kwenye bajeti ya wizara ya fedha niliona inatakiwa ianzie 200m au 100m hii ina maana gani? Mbona hata ukinunua luku kuna VAT [emoji119][emoji119] mwenye uelewa wa haya mambo tupe elimu...

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
Elimu kubwa utaipata kwenye Ilani ya Chama
 
Points ni zilezile.

1.Lack of competent leaders
2.Poor government policies
3.Corruptions
4.Lack of mass education
5.Selfishness
6.Undugunizations
7.Ufisadinizations
8.Watz wengi ni Wajinga
9.Mwizi wa mamilioni hafungwi
10.Tumewekeza bonds Kwa Diamond na Kiba.

Haleluya!!!
UNA HOJA ZA MSINGI,
SUBIRI KUJA KUJIBIWA NA MASHEHE, CHAWA, MASHOGA NA MACHOKO WENGINE KAMA NANI..
 
Kodi kubwa yenye kuwanufaisha wachache Bora nchi ichukuliwe na jeshi Kwa japo miaka kumi tu.

Magari mazuri yote wanatumia WAO tu.
 
Fikiria kina mama wanaouza karanga
na machungwa kwenye mabeseni wapate angalau elfu 5 ya kula halafu elfu 5 yenyewe haitoshi kununua sukari kilo 2. Kwenye hiyo kilo ya sukari wanalipa kodi chungu nzima ili tu Mwigulu anunue LC300 kwa milioni 800, alifanyie service na kuweka mafuta full tank na fedha nyingine wapewe Yanga na Simba kwa kufunga magoli.
Ungonjwa wa moyo unakunyemelea[emoji23]
 
Fikiria unaagiza gari chakavu (used car) nje ya nchi, ikifika TRA, TBS, TPA Kodi na ushuru usio wa kikodi huu hapa,
Kwa mfano,
I. Discovery 3 Kodi tu 18m TZS,
II. Ford Ranger kodi tu 30m TZS,
III. PRADO Kodi tu 35m TZS (TRA wanaipata bure tu).

Halafu hiyo Kodi unaenda kumnunulia mtu mmoja V8 Land cruiser la 600m TZS (full-service, mafuta, dereva) na posho za anasa. Tutaendelea namna hii? VAT 18% Ni maumivu hakika. Shule hazina madawati

View attachment 2710524View attachment 2710525View attachment 2710526
Ccm ni janga la Dunia
 
Back
Top Bottom