Punguza ujuaji, Lipa Kodi bila shuruti we boya watu wazitafune Kwa nafasiFikiria unaagiza Discovery 3 Kodi 18m TZS, Ford Ranger kodi 30m TZS, PRADO Kodi 35m TZS. Halafu hiyo Kodi unaenda kumnunulia mtu mmoja V8 Land cruiser (full-service, mafuta, dereva), posho za anasa. Tutaendelea namna hii? VAT 18% Ni maumivu hakika.
Unaifahamu VIEITE wewe ?Fikiria unaagiza Discovery 3 Kodi 18m TZS, Ford Ranger kodi 30m TZS, PRADO Kodi 35m TZS. Halafu hiyo Kodi unaenda kumnunulia mtu mmoja V8 Land cruiser (full-service, mafuta, dereva), posho za anasa. Tutaendelea namna hii? VAT 18% Ni maumivu hakika.
Inatakiwa iwe 10% ndo halali. Kenya apo n 16% sijui sisi apa Tanzania nani katuloga asee. Kuna muda nataman revolt ifanyike na apa kwetuVAT angalau iwe 14-16%
Kuingia stendi (Magufuli terminal au Msamvu pale) unalazimishwa kulipa kiingilio na ukiingia ukitaka kutumia choo hapo stendi unalipia tena, sasa hiyo iitwayo kiingilio sijui matumizi yake ni yapi.Kodi balaa. Tozo na viingilio Maonyesho 7-7, pantoni, parking, Choo nacho unalipia daah
Parking hata kwenye sehemu yako ya biashara watu wanakusanya Kodi kama yaoKuingia stendi (Magufuli terminal au Msamvu pale) unalazimishwa kulipa kiingilio na ukiingia ukitaka kutumia choo hapo stendi unalipia tena, sasa hiyo iitwayo kiingilio sijui matumizi yake ni yapi.
Au kuingia stendi ni starehe (luxury) au kwamba watu wengi majumbani wanatamani kwenda stendi kwa hiyo mnawadiskareji kwa kutoza kiingilio?? Huu si ni wizi!! Stendi kama Nanenane Mbeya hazina viingilio kwa watu na bado zipo vizuri, huu wizi au utumwa wa fikra mtaacha lini?
Huu ni ushuru wa kizamani sana, yaani ni wa watu wenye level ndogo sana ya uelewa. Kodi zinatakiwa kutolewa kwenye starehe ambako watu watatoa kwa ufahari pasipo maumivu. Ukiona kodi inamuuma mtu jua haimsaidii kitu.Parking hata kwenye sehemu yako ya biashara watu wanakusanya Kodi kama yao
Ubinafsi wa viongozi wetu ndio tatizo kubwa, wao hujiangalia wenyewe tuInatakiwa iwe 10% ndo halali. Kenya apo n 16% sijui sisi apa Tanzania nani katuloga asee. Kuna muda nataman revolt ifanyike na apa kwetu
NigerSuluhu la haya matatizo n nini hasa maana tokea enzi za baba zetu wanalalamikia utawala?