Kodi mpya ya Majengo kupitia LUKU inatakiwa kulipwa na Mmiliki wa Jengo na sio Wapangaji wa Jengo

Na sisi senior citizens ambao tuko exempted na hiyo kodi inakuwa vipi mbona hawanyooshi maelezo?
 
Hivi na wenye nyumba za kuishi za udongo zilizo na umeme wa rea huku vijijini nao wanalipa hiyo tozo kupitia luku?
 
Tuna wabunge vilaza sana
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa kodi ya majengo kwa njia ya ununuzi wa umeme ambayo itaanza kutumika Agosti 20, 2021
Watu msivyopenda kulipa kodi, hadi raha!
Waajiri wanalipa kodi kibao lakini hawalalamiki!
 
Lakini pia kuna nyumba zenye mita zaidi ya moja, je huoni huu ni wizi pia? Maana nyumba moja wataka kodi kwa kila luku.
Kwa hili wamesema mwenyenyumba atapeleka mita zote zilizopo kwny nyumba yake afu atachagua ni mita ipi ikatwe kodi
 
NHC ambayo ndiyo ao Serikali wanasema hivi! Je wewe mwenzangu namm?
 
Naona wanahangaika na kukukurupuka kukopi IDEAS kutoka humu JF lakn hawajui namna ya kuzitekeleza. Kwan walishndwa nn kumtafuta mtu alieleta hli wazo hapa Jf na akawasaidia namna ya kutekeleza hii isssue?. FRANCIS DA DON
 

Hii nzuri na kwa kutumia hii njia TRA wawajue wamiliki wa nyumba za kupangisha ili wawabane walipe kodi ya pango. Wapangaji hasa wa fremi za biashara wame kuwa wakiwalipia wenye nyumba hiyo kodi ya pango huku TRA wakijua na kuwambia waende wakamdai landlords wa warudishiwe kitu ambacho ni kigumu.
 
Watu msivyopenda kulipa kodi, hadi raha!
Waajiri wanalipa kodi kibao lakini hawalalamiki!
Shda siokulipakodi. Shida n kulipa kodi afu watu wanaenda kununua ma vieiteeee (in polepole's voice)
 
Shda siokulipakodi. Shida n kulipa kodi afu watu wanaenda kununua ma vieiteeee (in polepole's voice)
Tusilalamike
Kuna wakati watu wakifikiri kodi ni wafanyabiashara tu.
Lipeni kodi ili mudai risiti!
 
Kwa waanoishi nyumba za National housing inakuwaje...?
 
Naona wanahangaika na kukukurupuka kukopi IDEAS kutoka humu JF lakn hawajui namna ya kuzitekeleza. Kwan walishndwa nn kumtafuta mtu alieleta hli wazo hapa Jf na akawasaidia namna ya kutekeleza hii isssue?. FRANCIS DA DON
Ni kweli, walipaswa kushirikisha wadau ambao ndio walipaji
 
Kuna wale makapuku, umeme wa 2000 tu unatosha. Sasa sijui watafanyaje. Watakata buku yao na buku nyingine iwe kwenye luku?
Ukishalipa buku Mara moja ndani ya mwezi hata ukinunua umeme Mara kumi ndani ya mwezi hukatwi Tena .
 
Haya mambo yalitakiwa kuwa sorted kabla ya zoezi hili kuanza kwani ni jambo lililokuwa so obvious..
Lakini kwa sababu tumezoea tabia za kipuuzi tumeona twende tu....kwani kulikuwa na haraka gani?.....
Very stupid indeed..
 
Naona wanahangaika na kukukurupuka kukopi IDEAS kutoka humu JF lakn hawajui namna ya kuzitekeleza. Kwan walishndwa nn kumtafuta mtu alieleta hli wazo hapa Jf na akawasaidia namna ya kutekeleza hii isssue?. FRANCIS DA DON

Wanatumia ideas zetu bure bure shukrani hamna wakati mwengine na matusi juu kuwa, "eti tu wahuni flani tunao lipwa wenye simu janja na vipukusi vitano tano." Wajue wako tunao subiri malipo yetu tutakaporudi Mbinguni kwa Baba na Mungu wetu."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…