Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Mkuu mimi nilikuwa nazungumzia faida ya kulipa kodi, iwe mlipa kodi wa Namanyele au New York au Maldives.Nonsense, kwani sahivi hatulipi kodi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi nilikuwa nazungumzia faida ya kulipa kodi, iwe mlipa kodi wa Namanyele au New York au Maldives.Nonsense, kwani sahivi hatulipi kodi?
Ok, tatizo tunalipa kodi watu wanaishia kulipana posho tupuMkuu mimi nilikuwa nazungumzia faida ya kulipa kodi, iwe mlipa kodi wa Namanyele au New York au Maldives.
Wewe waliokuleta kutetea huu Utawala wamepoteza muda wao. Uwezo wako uko chini mno.Unaelewa maana ya TIN?
Hivi ambae bado sio mwanafunzi na ana ujuzi WA fani mbalimbali kwa nini asilipe Kodi? Machinga huko mtaani wako chini ya 18 na wanalipa ushuru..
Sasa mimi Nina uwezo wa chini wewe huna uwezo kabisa unaleta shobo tuu hapaWewe waliokuleta kutetea huu Utawala wamepoteza muda wao. Uwezo wako uko chini mno.
Watalipa Kwa lazima ndio maana watatambuliwa kwa njia ya TIN na anuani za makazi..Rental tax ipo sema elimu ya kodi watu hawana ambayo ingesaidia tax voluntary compliance na pia tax administrators ni wachache kufanya enforcement.
Kaka kulipa kodi kwa lazima au enforcement kuna consequences zifuatazo:-Watalipa Kwa lazima ndio maana watatambuliwa kwa njia ya TIN na anuani za makazi..
Uko sahihi kabisa ukondoo huu unasababishwa na kutokujua wajibu wetu kwa nchi yetu tulipe kodi na tuisimamie serikali kwa matumizi yakeKodi kubwa na nyingi ndiyo zitatuzindua usingizini na kutufanya tufuatilie mipango na maendeleo ya nchi hatua kwa hatua.
Hizo ndiyo zitawainua wananchi kupaza sauti na kuwa wakali kwa watendaji wa serikali wanavyofanya mambo kiholela na kimazoea.
Ni sababu ya kutolipa kodi au kodi kidogo ndiyo maana wananchi wakijengewa barabara wanaona kama vile ni hisani, ni kwa sababu ya kodi kidogo wananchi wanapoambiwa rais kawaleteeni hela wanaamini rais kazitoa kwenye account yake binafsi.
Angalia wafanyabiashara na watu waliojiajiri jinsi walivyo bitter, ni sababu ya mizigo ya kodi wanayolipishwa.
Mzigo wa kodi ndiyo utawafanya wananchi wapate hasira za kusimamishwa barabarani kwa zaidi ya saa nzima ili kupisha misafara ya wengine.
Ni kupitia kodi hizi itasaidia wananchi kuwa na ownership ya nchi yao.
Britanicca
Wewe ungefuatikia Jana mjadala wa Bajeti TBC ungeelewa..Kaka kulipa kodi kwa lazima au enforcement kuna consequences zifuatazo:-
1. Administrative expenses maana magari yawekwe mafuta kufuatilia walipa kodi, posho za tax collectors etc.
2. Tax evasion sababu mmeingia kwenye ubabe basi watu wataanza ku evade tax.
3. Cooperation kati ya administrators na taxpayers haitakuwa nzuri hivyo kusababisha malengo kutokufikiwa, na nyingine nyingi na ndio maana wanahimiza self assessment yaani kufanya watu wajikadilie ili kuepusha hayo matatizo.
Ndo maana elimu kwa mlipa kodi inahitajika ili kila mtu ajue ana wajibu anapo nunua kudai receipt, au mlipa kodi ajione anajukumu la kulipa kodiWewe ungefuatikia Jana mjadala wa Bajeti TBC ungeelewa..
Huwezi cut majadiliano Kati ya muuzaji na mnunuzi bila enforcement..
Polisi wanafanya Kazi gani barabarani? Si unawaongezea tuu jukumu badala ya doria ya kawaida na siku zote unawapa na hili la kusimamisha msafiri yeyeote Ili kukagua risiti..
Hilo sio swala la kumuachia TRA pekee..Hakuna mtu anayependa kulipa Kodi sio Tanzania tuu bali Duniani kote ndio maana kuna sheria kali sana huko Duniani na hawana kuchekeana..
Hapa Tanzania serikali inafanya mzaha,harafu wanaodai huduma Bora hata Kodi hawalipi..
Hakuna asiyejua kwamba anatakiwa kulipa Kodi ndio maana wanafanya hayo majadiliano kwa sababu anayi hiyo elimu bali anakwepa Kodi Ili auziwe bei ya chini..Ndo maana elimu kwa mlipa kodi inahitajika ili kila mtu ajue ana wajibu anapo nunua kudai receipt, au mlipa kodi ajione anajukumu la kulipa kodi
Doooh! Hili jambo ni la kitaalamu Mkuu na watu wamefanya tafiti na kuandika voluntary compliance huongeza revenue collection kwasababu hata yule anayeogopa kufanya biashara kwa kuhofia kuwekewa tax burden kubwa anapojifanyia self assessment ni rahisi kushawishika kufanya biashara na kuongeza wigo wa makusanyo.Hakuna asiyejua kwamba anatakiwa kulipa Kodi ndio maana wanafanya hayo majadiliano kwa sababu anayi hiyo elimu bali anakwepa Kodi Ili auziwe bei ya chini..
Hilo halihitaji elimu tena bali enforcement
We bwana una shida,ndio maana Lisu aliwahi ita professorial rubbish..Doooh! Hili jambo ni la kitaalamu Mkuu na watu wamefanya tafiti na kuandika voluntary compliance huongeza revenue collection kwasababu hata yule anayeogopa kufanya biashara kwa kuhofia kuwekewa tax burden kubwa anapojifanyia self assessment ni rahisi kushawishika kufanya biashara na kuongeza wigo wa makusanyo.
Enforcement ina mahala pake lakini sio kila mahali. Unafikiria TRA walikurupuka kuleta self assessment?
Usimzingizie Kikwete aliyesema hivyo alikuwa ni Bazil Mramba akiwa waziri wa Fedha wakati wa Ben Mkapa!Kikwete alituambia tutakula hata nyasi lakini ndege ya rais tutanunua tuu (hii ni sawa), sasa tutatoa kodi ya kichwa kufanikisha safari za rais kwenda kusalimia ndugu zake huko ughaibuni
Mzee zile sheria za kodi tayari ni amri zinatoa due dates, zinatoa offences,interests and penalties na hata imprisonment lakini ili kuadminister sheria kunakuwa na vingine kama practice notes, regulations and etc. Pia ni haki kwa taxpayer kupewa presumption of honest na kuwa treated vizuri.We bwana una shida,ndio maana Lisu aliwahi ita professorial rubbish..
Unakomaa tuu na kitaalamu wakati huo utaalami haufanyi Kazi..
Hawa unaowaona humu jf wanakwepa Kodi hawana elimu? Hizi comments unaona wako tayari kulipa Kodi kwa hiari?
Nini maana ya kuwa na sheria basi? Zifutwe basi ilinuendelee kuwaelimisha tuone kama watalipa Kwa hiari..
Hata mimi hapa huwa nakwepa inapobidi ila kwa kuwa kuna kukamatwa nalipa,kwani sina elimu?
Narudia tena hakuna mtu yuko tayari kulipa Kodi kwa hiari yaani upunguze mapato yako kirahisi tuu? Trump ana kesi ya kukwepa Kodi na nintajiri,huyo hana elimu?
Kuwa serious mzee.
Hivi hiyo kodi ya mutwe ni sh ngapi au itaanzia kiwango kile kile alichokomea mkapa
Samahani kwa hilo, nafanya masahihisho.Usimzingizie Kikwete aliyesema hivyo alikuwa ni Bazil Mramba akiwa waziri wa Fedha wakati wa Ben Mkapa!
Nimekubali 100%. Hii nchi tunatakiwa tuteseke sana ili kuzinduka usingizini asante lameck madelu.Kodi kubwa na nyingi ndiyo zitatuzindua usingizini na kutufanya tufuatilie mipango na maendeleo ya nchi hatua kwa hatua.
Hizo ndiyo zitawainua wananchi kupaza sauti na kuwa wakali kwa watendaji wa serikali wanavyofanya mambo kiholela na kimazoea.
Ni sababu ya kutolipa kodi au kodi kidogo ndiyo maana wananchi wakijengewa barabara wanaona kama vile ni hisani, ni kwa sababu ya kodi kidogo wananchi wanapoambiwa rais kawaleteeni hela wanaamini rais kazitoa kwenye account yake binafsi.
Angalia wafanyabiashara na watu waliojiajiri jinsi walivyo bitter, ni sababu ya mizigo ya kodi wanayolipishwa.
Mzigo wa kodi ndiyo utawafanya wananchi wapate hasira za kusimamishwa barabarani kwa zaidi ya saa nzima ili kupisha misafara ya wengine.
Ni kupitia kodi hizi itasaidia wananchi kuwa na ownership ya nchi yao.
Britanicca