JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Ile nyumba ambayo Hamisa alidai kanunuliwa na Mondi kumbe ni ya kupanga imeisha kodi.. Cha ajabu Mange alihangaika kumchangishia hela mtandaoni japo anunue kiwanja kupewa hela Hamisa akanunua Toyota Vanguard ili kuendana na ujinga wa kushindanishwa na Zari ambaye ana Range Rover, Benz, Ferarri, LAMBORGHINI etc.