Kodi ya Hamisa Mobetto imeisha Mbezi Beach

Kodi ya Hamisa Mobetto imeisha Mbezi Beach

Aende madale akakae na bimkubwa au akakae na tanasha pale mjengoni
 
Yani wanaume kwa wanawake na nywele za kila rangi mmezbeba mnabishana kuhusu maisha ya watu as if u guys mnapata chochote!
 
Kwaiyo ile range ya 2018 ni ya kukodi mbona anayo mwaka mzima sasa? Unajua kukodi range ya kizamani tu kwa harusi kwa siku ni millioni moja? Kakodi na wewe basi uje utambe Instagram akili fupi
South Africa unaweza kodi gari ya aina yeyote..ata wasanii wa TZ shooting zao south ukodi magari ya kifahali na private jet au boat .kule zipo kampuni kabisa zenye kukodisha magari na jet kwa wasanii au watu wanaotaka haya mavitu.wewe uliezoea kukodi gari mpaka siku ya harusi pole sana😁
 
Hata Zari, yale magari sio ya kwake. Anayakodisha kuwadanganya watu wenye akili ndogo msiojua kupambanua mambo.
Kila siku mnarushwa roho na vitu vya kukodi.
Ila sie wapembuzi wa mambo tunajua tu!
Zari ana car park inayoingia magari mawili. Kama ananunua magari mapya kila siku, mbona ile parking huwa haijai?
Upo sawa kabisa.anakodisha for few hrs au days anakuja rusha watu roho.Kwa aliwei tembelea South haya mambo ya kukodi maferari,mavogi na kawaida sana wala sio ishu
Screenshot_20190519-144153.png

Status Luxury Vehicles
 
Zari huwa anawaonesha picha amepoz kwenye gari. Umeshawahi mwona anaweka kadi ya gari hadharani?
Obama alipobanwa kuwa sio raia wa Marekani, aliweka cheti chake cha kuzaliwa hadharani, mjadala ukafungwa.
Sasa mwambie na Zari akisema kanunua ndinga, aambatanishe na picha ya kadi ya gari... Tuone kama ina jina lake ndio tuamini. Hivi hivi usiwe unapenda kurushwa roho na kuamini vitu vya ku fake!
Kwaiyo zile namba za gari zenye jina lake anatembelea kinyume na sheria au?
 
South Africa unaweza kodi gari ya aina yeyote..ata wasanii wa TZ shooting zao south ukodi magari ya kifahali na private jet au boat .kule zipo kampuni kabisa zenye kukodisha magari na jet kwa wasanii au watu wanaotaka haya mavitu.wewe uliezoea kukodi gari mpaka siku ya harusi pole sana[emoji16]
Kwaiyo wewe unauwezo wa kukodi gari kwa million moja kwa siku mwaka mzima kama zari eehne unajua hadi sasa itakuwa kashlipa millioni tsh 498 tangu awe na ilo range
 
Ile nyumba ambayo Hamisa alidai kanunuliwa na Mondi kumbe ni ya kupanga imeisha kodi.. Cha ajabu Mange alihangaika kumchangishia hela mtandaoni japo anunue kiwanja kupewa hela Hamisa akanunua Toyota Vanguard ili kuendana na ujinga wa kushindanishwa na Zari ambaye ana Range Rover, Benz, Ferarri, LAMBORGHINI etc. View attachment 1101470
Na hawa ndio wanaume wa KINONDONI
 
Mastaaa wana kazi mm kodi ikiisha hata jirani hajui, hamisa kodi kuisha dunia mzima inajua!
 
Yani wanaume kwa wanawake na nywele za kila rangi mmezbeba mnabishana kuhusu maisha ya watu as if u guys mnapata chochote!
Mbonana wewe unafuatilia maisha yetu ya kufuatilia maisha ya wengine
 
Kwaiyo wewe unauwezo wa kukodi gari kwa million moja kwa siku mwaka mzima kama zari eehne unajua hadi sasa itakuwa kashlipa millioni tsh 498 tangu awe na ilo range
anakodi anapiga picha analirudisha kisha anaenda siku nyingine analikodi tena.acha kushabikia ubumbavu...huyo Zari zaidi ya kudate makolongwee,wauza madawa na matapeli wa kuuza dhaabu fake ana jipya...akuna mtu mwenye life yake na anaejitambua atadate na malaya kama huyo Zari...now days umalaya mnaupigia chapuo kama vile ni jambo la kawaida ata kwenye vitabu vya dini
Zari ana gari za maana.anakodi leo anarudisha kesho..anakodi tena mwezi ujao anajipiga picha kuwarusha roho mapimbi kama nyie.Zari wenye akili zao awapati.anawapata matapeli,makolongwee na wauza unga..na mazuzu kama wewe as fans..
 
Back
Top Bottom