Kodi ya majengo kupitia luku baadhi ya watu wanaumia Kwa kuibiwa

Kodi ya majengo kupitia luku baadhi ya watu wanaumia Kwa kuibiwa

Biok

Member
Joined
Jan 17, 2023
Posts
69
Reaction score
147
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.

Mosi, kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi, Leo Mei kaja kununua tena umeme amekatwa Kodi 6000, hii imekaaje?

Ikiwa kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote, huyu mteja alistahili kulipa 2000 tu ya April na mei iweje amekatwa 6000? nani anacheza mchezo huu?

Pili, kwenye application ya kununua umeme kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa, badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa, ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected, jambo hili linaukakasi, nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?

Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.
 
Sidhani
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.
Mosi,kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi,Leo mei kaja kununua Tena umeme amekatwa Kodi 6000,hii imekaaje?ikiwa Kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote,huyu mteja alistahili kulipa 2000tu ya April na mei iweje amekatwa 6000?nani anacheza mchezo huu?
Pili,kwenye application ya kununua umeme Kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa,badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa,ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected,jambo hili linaukakasi,nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?
Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.
Sidhani kama ni kweli,ni vizuri ukiweka ushahidi huo!!
 
Per month ni 3,000 sio buku punguza hasira hii ndio tanzania united state
 
Kuna watu wana madeni ila hawataki sema
 
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.

Mosi, kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi, Leo Mei kaja kununua tena umeme amekatwa Kodi 6000, hii imekaaje?

Ikiwa kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote, huyu mteja alistahili kulipa 2000 tu ya April na mei iweje amekatwa 6000? nani anacheza mchezo huu?

Pili, kwenye application ya kununua umeme kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa, badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa, ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected, jambo hili linaukakasi, nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?

Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.
Ivi ukiwa na meter mbili sehemu moja, inakuaje
 
Hapana,eneo moja ulipie Kodi mbili
Ndio hivyo inatakiwa uende tanesco uwataarifu kuwa hizo mita mbili zipo kwenye jengo moja,tofauti na hapo hata ziwe tano,kila mita watakata pesa ya jengo.
 
Kuna watu wana madeni ila hawataki sema
Ukiwa na Deni linakatwa mara moja. Hutaweza kununua umeme mpaka ulipe deni lote. Hata kama unadaiwa laki moja, itabidi ulipe deni lote kwanza ndio upate umeme
 
Back
Top Bottom