Kodi ya majengo kupitia luku baadhi ya watu wanaumia Kwa kuibiwa

Kodi ya majengo kupitia luku baadhi ya watu wanaumia Kwa kuibiwa

Ndio hivyo inatakiwa uende tanesco uwataarifu kuwa hizo mita mbili zipo kwenye jengo moja,tofauti na hapo hata ziwe tano,kila mita watakata pesa ya jengo.
Hata ukienda Tanesco hakuna kitu kitabadilika. Kuna mmoja alipata hiyo changamoto mwaka jana, alihangaika Tanesco Ila mwisho akaamua kukubali matokeo.
 
Mimi.nimenunua jana tu mbona bado ni 1000?!!!ndio maana nilisema waweke ushahidi huo.
Hili tatizo linakumba baadhi ya watu na kweli ni tatizo. Ni kama waliokatwa pesa atm, Kuna ambao walikatwa na Kuna ambao hawakukatwa.

Ukweli kuna shida ya ununuzi wa umeme, mwaka jana Kuna mtu akinunua lakini haikuja msg ya kutoka GePG, badala yake ilikua zile namba 5(15...). Hapo tafsiri yake kuna mauzo ya umeme yamefanyika nje ya mfumo rasmi wa serikai
 
Hili tatizo linakumba baadhi ya watu na kweli ni tatizo. Ni kama waliokatwa pesa atm, Kuna ambao walikatwa na Kuna ambao hawakukatwa.

Ukweli kuna shida ya ununuzi wa umeme, mwaka jana Kuna mtu akinunua lakini haikuja msg ya kutoka GePG, badala yake ilikua zile namba 5(15...). Hapo tafsiri yake kuna mauzo ya umeme yamefanyika nje ya mfumo rasmi wa serikai
Hayo matatizo kwenye mifumo hata ya simu yapo,lakini huwezi kusema eti sasa kodi ya majengo imepanda ni 3000?
 
Hata ukienda Tanesco hakuna kitu kitabadilika. Kuna mmoja alipata hiyo changamoto mwaka jana, alihangaika Tanesco Ila mwisho akaamua kukubali matokeo.
Jaribu kuelewa mkuu,wakati ule zoezi ndio linataka kuanza TRA,walitoa maelekezo kuwa kama nyumba yako ima mita zaidi ya moja nenda ofisi ya tanesco na barua ili wafahamu hilo.Japo naamini bado hata leo kama una changamoto hiyo inataturika!!labda mtu anapuuzia tu kutokana na kiwango kuwa kidogo.hivi kweli ingekuwa ni 50000 kwa mwezi,mtu angeacha hivi hivi tu?
 
Sidhani

Sidhani kama ni kweli,ni vizuri ukiweka ushahidi huo!!
Screenshot_20230504-145323~4.png

some time tuwe watu wa kufanya reasoning, mimi nilijua peke angu nlokatwa.
ushahidi huo apo.
 
yap boss, kila baada ya siku 2 lazima ninunue umeme, nina miezi miwili au mwezi sikukatwa kodi ya jengo niliponunua tarehe 1, ndo wamenikomeshea hapo. it means nimepigwa 3000 per month.
 
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.

Mosi, kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi, Leo Mei kaja kununua tena umeme amekatwa Kodi 6000, hii imekaaje?

Ikiwa kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote, huyu mteja alistahili kulipa 2000 tu ya April na mei iweje amekatwa 6000? nani anacheza mchezo huu?

Pili, kwenye application ya kununua umeme kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa, badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa, ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected, jambo hili linaukakasi, nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?

Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.
Kweli kabisa, tarehe 02/5/2023 Kuna jamaa alikuwa anunue umeme wa 5,000 ukagoma, akauliza customer care wanamwambia anadaiwa 13,000 hivyo ama alipe deni lote ama nusu ndiyo atapata ruhusa ya kununua umeme, wakati huo hakuna hata sms ya kuonyesha kuwa kunadeni ili mteja ajue mapema. Hili ni tatizo.
 
Nyumba yangu Ina luku nne na wanakata zote, nilipokwenda kulalamika TRA wakaniambia ngoja watizame kama kuna wapangaji ili wanilipue na15% ya kodi ninayo lipwa.
Sikurudi tena[emoji849]
[emoji47][emoji47][emoji47] duuu! Sio mchezo, mtego huu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.

Mosi, kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi, Leo Mei kaja kununua tena umeme amekatwa Kodi 6000, hii imekaaje?

Ikiwa kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote, huyu mteja alistahili kulipa 2000 tu ya April na mei iweje amekatwa 6000? nani anacheza mchezo huu?

Pili, kwenye application ya kununua umeme kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa, badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa, ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected, jambo hili linaukakasi, nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?

Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.
Daaahhh, naona hili limenikumba aisee.

Tarehe 29/04/2023, nilinunua Luku ya 5000/= nikapata unit 5 tu. Nilishangaa sana nikajiuliza mbona ni chache sana, huenda mita ipo tarif ngapi!(ilikuwa mara ya kwanza kununua maana ndio ni nyumba mpya niliyohamia/niliyopanga).

Jana umeme ukaisha, nikasema kwa kuwa nilipata unit 5 kwa 5000, ngoja ninunue wa 10000. Nilipata unit 24, nikashangaa tena na kujiuliza iweje unit ziwe nyingi hivi? sikujua. Hapa nimepata pa kuanzia maana nalipa kodi ya nyumba(ambayo sio jukumu langu) pamoja na kodi ya kupanga.
 
Nyumba yangu Ina luku nne na wanakata zote, nilipokwenda kulalamika TRA wakaniambia ngoja watizame kama kuna wapangaji ili wanilipue na15% ya kodi ninayo lipwa.
Sikurudi tena🙄
Hii ndiyo naisikia leo maana mimi niliambiwa kuwa kinachotozwa kodi ni nyumba na siyo luku hivo unastahili kutoa taarifa tanesco mita ipi ndiyo ikatwe hiyo buku. Nakushauri fanya hivo nenda tanesco waambie nyumba yako ina mita zaidi ya moja ila wape mita moja ndiyo iwe inakatwa hiyo buku.
 
Ni ipo hivi, hii system ya kukata Kodi ya majengo kwenye luku ilipoletwa , ililetwa kwa assumption kwamba nyumba moja Ina luku moja, hivyo wakaweka kwamba ziwe zinakatwa elfu moja moja kwenye kila luku, kitu ambacho serikali imeshindwa mpaka Sasa, Ni kurekebisha huo mfumo ili luku moja tu ndiyo ikatwe kwa nyumba zenye luku nyingi. Ni wazi kwamba serikali imeshindwa kuwatetea wananchi wake, huu mfumo una makosa. Nlivyokuwa TRA tuliwaambia wateja nenda sisi tutakuja kukagua nyumba yako na kuhesabu mna luku ngapi, na tuchague luku ya kukata Kodi ya jengo. Hata ungerudi Mara 20 tungekupa jibu hilohilo kwamba nenda sisi tutalishughulikia. Na hata hatukuwa na mpango wa kwenda kutembelea nyumba, kwa sababu tunajua mfumo ndo wenye shida upo automated Tanzania nzima.Ni karibu mwaka na nusu umeshapita but I wonder mpaka leo TANESCO na serikali kwa ujumla wanashindwa kubadilisha kitu kidogo Kama hicho kwenye mfumo wao. Labda wanataka wananchi muandamane.
 
yap boss, kila baada ya siku 2 lazima ninunue umeme, nina miezi miwili au mwezi sikukatwa kodi ya jengo niliponunua tarehe 1, ndo wamenikomeshea hapo. it means nimepigwa 3000 per month.
Mkuu kama miezi 2 hukununu maana yake miezi miwili ni 2000 plus huu was sasa ni 1000 jumla 3000 ni sawa
 
Najihusisha na huduma za uwakala na Moja ya huduma ninayoitoa ni manunuzi ya umeme ambapo serikali pia hukusanya Kodi ya majengo Kwa TSH 1000 Kwa Kila mwezi,Kuna malalamiko mengi kutoka Kwa wateja.

Mosi, kukatwa Kodi isiyo halali(kuibiwa),mfano Kuna mteja alinunua umeme mwezi machi, Leo Mei kaja kununua tena umeme amekatwa Kodi 6000, hii imekaaje?

Ikiwa kila unaponunua umeme unakatwa madeni yote, huyu mteja alistahili kulipa 2000 tu ya April na mei iweje amekatwa 6000? nani anacheza mchezo huu?

Pili, kwenye application ya kununua umeme kwanini hawaoneshi deni unalodaiwa, badala yake unakuwa unakisia tu kiwango unachodaiwa, ukishanunua ndo unaoneshwa debt collected, jambo hili linaukakasi, nini kinazuia kuonesha deni unalodaiwa kabla ya kulipia?

Watu wengi wanamalalamiko kuhusu kuzidishiwa makato mamlaka ziliangalie.

Wacha tu ,nchi hii tatizo ni wananchi wenyewe!wacha tupigwe mpaka tutakapopata akili
 
Back
Top Bottom