awamuyetu
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 327
- 164
Wewe ni mtumishi wa Tanesco au TRA?Sidhani
Sidhani kama ni kweli,ni vizuri ukiweka ushahidi huo!!
Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mtumishi wa Tanesco au TRA?Sidhani
Sidhani kama ni kweli,ni vizuri ukiweka ushahidi huo!!
3000 kwa miezi mingapi?Per month ni 3,000 sio buku punguza hasira hii ndio tanzania united state
Mimi mwenyewe Jana nimekatwa 6000.View attachment 2609665
some time tuwe watu wa kufanya reasoning, mimi nilijua peke angu nlokatwa.
ushahidi huo apo.
Mkulima!!
DuhNdio hivyo inatakiwa uende tanesco uwataarifu kuwa hizo mita mbili zipo kwenye jengo moja,tofauti na hapo hata ziwe tano,kila mita watakata pesa ya jengo.
🤣🤣🤣Nyumba yangu Ina luku nne na wanakata zote, nilipokwenda kulalamika TRA wakaniambia ngoja watizame kama kuna wapangaji ili wanilipue na15% ya kodi ninayo lipwa.
Sikurudi tena🙄
Hii ni kama ku discourage kujenga maghorofa.Kuna tangazo wametoa jana
Ukiwa na Deni linakatwa mara moja. Hutaweza kununua umeme mpaka ulipe deni lote. Hata kama unadaiwa laki moja, itabidi ulipe deni lote kwanza ndio upate umeme
Unatakiwa unandike barua tanesco kuwaelekeza ni mita ipi ikatwe.Ivi ukiwa na meter mbili sehemu moja, inakuaje
Mimi mbona nilipeleka barua na nilifanyiwa marekebisho.Hata ukienda Tanesco hakuna kitu kitabadilika. Kuna mmoja alipata hiyo changamoto mwaka jana, alihangaika Tanesco Ila mwisho akaamua kukubali matokeo.
Naomba nisaidie namna ya kufahamu/ kuona kiasi kinachodaiwa.Wahusika Leo wamerekebisha mfumo,ukiwa unadaiwa kiwango chako Cha deni kiaoneshwa,hoja yangu ya pili nadhani imeaanza kujibiwa,haiwezekani kukisia deni unaponunua umeme,LAKINI ishu ya wizi Bado IPO inaexist,Kuna mteja ameingiza umeme march 2023 Leo kaja kununua umeme anambiwa anaedaiwa 18000 hii sio fair,labda wamemterm kama anaghorofa
Naona mambo ya sensaTanesco imesema kuwa kwa sasa makadirio yamepanda
Kwa wenye ghorofa ni 60,000 kwa Mwaka
Hivyo kila mwezi wanakata 5000
Wengine ni 12,000