Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,425
Reaction score
4,768
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye Bajeti ya Afya sijaona ongezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3. Je, mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?

Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.

Pia sijaona fedha maalum eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi, Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya. Kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya!
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Mwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.

Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
 
20210716_063741.jpg
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Hapo watu wanataka kugawana posho
 
Huku anakuogopa sana kwakuwa kuna Vichwa 'Geniuses' wengi tena ambao hata hawana 'Doctorate' kama yake ya Mzumbe University na wengine wakiwa hata Vyuo Vikuu huko hawajafika na hawana mpango wa Kufika.
Mwigulu ni tapeli kama matapeli waengine
 
Bajeti ya afya imepanda had 1.2 Trillion nadhan inabidi ulione hilo
 
Huku anakuogopa sana kwakuwa kuna Vichwa 'Geniuses' wengi tena ambao hata hawana 'Doctorate' kama yake ya Mzumbe University na wengine wakiwa hata Vyuo Vikuu huko hawajafika na hawana mpango wa Kufika.
Is it Mzumbe? or some where else.pls revise
 
Wataisoma nambaaa eeeh wacha waisome namba kina jinga lao wakajua Chadema ndio walengwa kumbe wote tunakumbwa na hii kazia siku moja tutatia akili ili tuache kuchagua hovyohovyo
 
Mimi nadhani kama Kuna mchango wa Mwigulu kwenye bajeti hii ni mambo machache kwani VP ndio alikua Waziri wa fedha muda mchache kabla ya bunge la bajeti kuanza.

Na sidhani kama muda Mwigulu amekua waziri ulitosha kuandaa mambo yote yale.

Hizi tozo kama za simu hakuna namna analikwepa.

Wenzangu mtanisahihisha.
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Ummy amesema zinakwenda kujenga barabara sasa tumwamini nani?
 
Back
Top Bottom