Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

bora sila unaweza kukimnbia, mwenzio anakuibia kwa kalamu huku MATAGA wakigonga meza.
Mimi 'Kalamu', sijawahi kuwa mwizi hata siku moja, na sijawahi kuwa na uhusiano wowote na MATAGA.

Jaji mfawidhi ananihukumu kwa kosa la kupangwa tu kwa sababu azijuazo mwenyewe!
 
Mimi 'Kalamu', sijawahi kuwa mwizi hata siku moja, na sijawahi kuwa na uhusiano wowote na MATAGA.

Jaji mfawidhi ananihukumu kwa kosa la kupangwa tu kwa sababu azijuazo mwenyewe!
kaka kalamu nisamehe, nlikuwa nalenga MATAGA na chawa wao.
 
Wanaandaa hela ya uchaguzi kwa ajili ya kutuibia kura na kuteka watu wetu tu hao
 
Mwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.

Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
Watz hatuwezi kukubali kuwa na rais gaidi kigeugeu katili na mwenye roho mbaya kama Mwigulu
 
Huku anakuogopa sana kwakuwa kuna Vichwa 'Geniuses' wengi tena ambao hata hawana 'Doctorate' kama yake ya Mzumbe University na wengine wakiwa hata Vyuo Vikuu huko hawajafika na hawana mpango wa Kufika.
Phd za vyuo vya bongo ni professional rubbish
 
Mwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.

Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
Ulivyo ngumbaru, unafikiri hizo kodi Mwigulu kajipangia tu bila Samia kujua?
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Mwanasiasa anapo ongea jambo lake sijui anatuonaje yaani aah!
 
Hizi pesa hazitajenga madarasa wala barabara, nchi imeshikwa pabaya ipo sehemu wanapotaka kupeleka hizi pesa.. Madarasa na barabara hazijaanza kujengwa leo na hatuwajahi fanyiwa haya mauzauza! Hizo barabara na madarasa ni propaganda tu ndio maana wanatumia nguvu kubwa kuyaelezea
 
Ulivyo ngumbaru, unafikiri hizo kodi Mwigulu kajipangia tu bila Samia kujua?
Hata kama Samia akijuwa, Mwigulu bado atabaki kuwa na lawama. Kujuwa kwa Samia hakumuondolei uhusika Mwigulu kwenye upangaji wa kodi hizo.
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Njazia nyama kidogo kwenye hoja yako.
Kwa kuwa hili zoezi ni endelevu na kila siku watu wanafanya mihamala ya kifedha kwenye simu,kidogo tungeridhika kama huduma ya afya itakuwa BURE kwa kila mtanzania maana hii pesa itakuwa nyingi endapo takwimu hazitapindishwa.

Tanzania kuwa mwanasiasa ni kuwa na ujasiri wa kuongopa bila kujali watu wanajua au hawajui unachoongea.
Tuna wakati mgumu sana kama taifa kutoka hii hatua tuliyopo kama taifa endapo wanaotupangia sera ni watu kama akina mwigulu
 
Mimi nadhani kama Kuna mchango wa Mwigulu kwenye bajeti hii ni mambo machache kwani VP ndio alikua Waziri wa fedha muda mchache kabla ya bunge la bajeti kuanza.

Na sidhani kama muda Mwigulu amekua waziri ulitosha kuandaa mambo yote yale.

Hizi tozo kama za simu hakuna namna analikwepa.

Wenzangu mtanisahihisha.

Tozo za simu ulikuwa ni mpango wa Magufuli tena ulichelewa. Unakumbuka wakati tunalazimishwa kusajili line za simu? Lengo lilikuwa ni hii tozo. Kumbuka Zungu aligusia kodi ya Uzalendo Wakati Magufuli akiwa hai. Hivyo kwa sasa ni implementation.
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.

Kama wako bungeni kwa wizi wa kura na hakuna lolote limewatokea, kipi kitawalazimisha hivi sasa kutekeleza kwa mujibu wa bajeti? Na hata wakitekeleza chochote nje ya bajeti, ni wabunge gani wanaweza kuibana serikali wakati zaidi ya nusu wako bungeni kwa maagizo ya Magufuli?
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Hapo ndio pa kumbana sasa , kwenye mafuta tumeona ongezeko huko Tarura ila kwenye tozo sijajua mgawanyo ukoje maana kuna majibu ya jumla jumla tuu
 
Back
Top Bottom