KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mimi 'Kalamu', sijawahi kuwa mwizi hata siku moja, na sijawahi kuwa na uhusiano wowote na MATAGA.bora sila unaweza kukimnbia, mwenzio anakuibia kwa kalamu huku MATAGA wakigonga meza.
Jaji mfawidhi ananihukumu kwa kosa la kupangwa tu kwa sababu azijuazo mwenyewe!