Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

Kodi ya Miamala ya Simu: Swali kwa Waziri Mwigulu baada ya maelezo yake TBC

Tunakamuliwa kwa ulazima, ikiwa malisho yetu ni mimba mikavu ya jangwani isio na virutubisho!
20210713_141148.jpg
 
Mwigulu hata angekuwa Prof najua uwezo hana kabisa Nchi inaangamia kwa kuwa na baadhi ya waamuzi uwezo wao wa kufikiri mema juu ya Nchi yao ni mdogo huyo milimtoa kitambo mno...
 
Kiasili mkatili, na mshangiliaji kwa watu kuumia, kimsingi makato sawa ila kiwango kimafikirisha! Pia sababu za makato ni kuwaongezea tu watendaji ulajj!
 
Ipo hela ya ongezeko la mafuta ya taa toka kipindi cha kile cha kina Zitto Kabwe sijui inakwenda wapi maana iliongezwa bei iwe sawa na diesel kuogopa kuchakachua ipo Elfu moja na ushee hapo kwenye mafuta ya taa...
 
Mwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.

Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
Huyu mbwa ni hafai kabisa....

IMG-20210716-WA0020.jpg
 
Tozo za simu ulikuwa ni mpango wa Magufuli tena ulichelewa. Unakumbuka wakati tunalazimishwa kusajili line za simu? Lengo lilikuwa ni hii tozo. Kumbuka Zungu aligusia kodi ya Uzalendo Wakati Magufuli akiwa hai. Hivyo kwa sasa ni implementation.
Foolish! Hivi watu kama wewe huwa kichwa munaweka wapi? Kwa hiyo Kenya waliposajili pia waliambiwa na Magufuli? Ongezeni ufahamu wa dunia.
 
Wataisoma nambaaa eeeh wacha waisome namba kina jinga lao wakajua Chadema ndio walengwa kumbe wote tunakumbwa na hii kazia siku moja tutatia akili ili tuache kuchagua hovyohovyo
Nafurahia kulipa kodi ...huwa nasisitiza wakepwa kodi wanyooshwe.
Sisi watumishi wa umma tulizoea kukatwa bila tax holidays yaani PAYE inaliwa juu kwa juu.
mwaka huu tax base imeongezeka lets share the burden
 
Huku anakuogopa sana kwakuwa kuna Vichwa 'Geniuses' wengi tena ambao hata hawana 'Doctorate' kama yake ya Mzumbe University na wengine wakiwa hata Vyuo Vikuu huko hawajafika na hawana mpango wa Kufika.
Kabisa mkuu jf ni darasa tosha sana. Hata uishie level gani ukiwa mpenzi wa jf lazima akili yako iimarike mara dufu.

Akija kujibu hoja humu siku hiyo hiyo atajua sio watz wote ni wajinga kama anavodhani.
 
Hizi pesa hazitajenga madarasa wala barabara, nchi imeshikwa pabaya ipo sehemu wanapotaka kupeleka hizi pesa.. Madarasa na barabara hazijaanza kujengwa leo na hatuwajahi fanyiwa haya mauzauza! Hizo barabara na madarasa ni propaganda tu ndio maana wanatumia nguvu kubwa kuyaelezea
Umeongea ukweli mtupu..na ole wako uthubutu kuuliza hizi hela ziko wapi bajeti ijayo..utaambiwa kibaraka wa mabeberu ..sio mzalendoooo....
 
Foolish! Hivi watu kama wewe huwa kichwa munaweka wapi? Kwa hiyo Kenya waliposajili pia waliambiwa na Magufuli? Ongezeni ufahamu wa dunia.
Acha kupanick we mtoto, zilikuwa na haraka gani wakati hata hivyo vitambulisho vya taifa mpaka leo watu wengi hawana? Nenda huko Kenya uone kama watu wanasajili hizo line bila kitambulisho kinachoeeleweka.
 
Acha kupanick we mtoto, zilikuwa na haraka gani wakati hata hivyo vitambulisho vya taifa mpaka leo watu wengi hawana? Nenda huko Kenya uone kama watu wanasajili hizo line bila kitambulisho kinachoeeleweka.
Umesoma kinachojadiliwa au unarukia tu! unachoeleza kinatofautiana nini au kinaongeza nini ktk maelezo hayo! Mpe pole Mbowe
 
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.

Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?

Kwenye Bajeti ya Afya sijaona ongezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.

Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3. Je, mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?

Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.

Pia sijaona fedha maalum eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.

Kwa ufupi, Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya. Kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.

MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya!
Katika kosa ambalo serikali yangu pendwa ya CCM imefanya ni Hili la miamala ya simu,serikali makini isingeweza kufanya jaribio hili la kutapeli raia wake.Yaani haiwezekani serikali itumie mitaji ya raia wake kuingiza mapato.katika ongezeko hilo wakala anageuka kuwa TRA kwani hapati chochote.Alaaniwe yule aliyeiba kura na kupitisha wawakilishi wasio na sifa.kama yupo hai laana ya mungu iwe juu yake na hata Kama amefariki mungu ampe adhabu Kali kaburini.haiwezekani wananchi wabebe gharama za kifahari za viongozi wao.
 
Mimi nadhani kama Kuna mchango wa Mwigulu kwenye bajeti hii ni mambo machache kwani VP ndio alikua Waziri wa fedha muda mchache kabla ya bunge la bajeti kuanza.

Na sidhani kama muda Mwigulu amekua waziri ulitosha kuandaa mambo yote yale.

Hizi tozo kama za simu hakuna namna analikwepa.

Wenzangu mtanisahihisha.

Binafsi pia ninaamini hivi. Either alikuta mchakato unaendelea au ulikua tayari umeshakamilika. Kimsingi huu ulikua ni mkakati wa serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

Nevertheless, haimaanishi kama Mh Mwigulu na wataalam wake wa Wizara hawana mapungufu katika hili.
 
Binafsi pia ninaamini hivi. Either alikuta mchakato unaendelea au ulikua tayari umeshakamilika. Kimsingi huu ulikua ni mkakati wa serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

Nevertheless, haimaanishi kama Mh Mwigulu na wataalam wake wa Wizara hawana mapungufu katika hili.
sema ni MKAKATI WA CCM baada ya kutumia fedha nyingi kununua wapinzani sasa wakahamia kwenye simu.
 
Back
Top Bottom