KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mimi 'Kalamu', sijawahi kuwa mwizi hata siku moja, na sijawahi kuwa na uhusiano wowote na MATAGA.bora sila unaweza kukimnbia, mwenzio anakuibia kwa kalamu huku MATAGA wakigonga meza.
kaka kalamu nisamehe, nlikuwa nalenga MATAGA na chawa wao.Mimi 'Kalamu', sijawahi kuwa mwizi hata siku moja, na sijawahi kuwa na uhusiano wowote na MATAGA.
Jaji mfawidhi ananihukumu kwa kosa la kupangwa tu kwa sababu azijuazo mwenyewe!
Watz hatuwezi kukubali kuwa na rais gaidi kigeugeu katili na mwenye roho mbaya kama MwiguluMwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.
Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
Phd za vyuo vya bongo ni professional rubbishHuku anakuogopa sana kwakuwa kuna Vichwa 'Geniuses' wengi tena ambao hata hawana 'Doctorate' kama yake ya Mzumbe University na wengine wakiwa hata Vyuo Vikuu huko hawajafika na hawana mpango wa Kufika.
Kwani JIWE ilikuwaje? si tulitulia kama kanga ananyolewa ?Watz hatuwezi kukubali kuwa na rais gaidi kigeugeu katili na mwenye roho mbaya kama Mwigulu
Mimi sikutulia.Kwani JIWE ilikuwaje? si tulitulia kama kanga ananyolewa ?
Ulivyo ngumbaru, unafikiri hizo kodi Mwigulu kajipangia tu bila Samia kujua?Mwigulu is INEPT.
Mwigulu anataka U-Rais 2025 na ni Mwaribifu.
Mwigulu anashusha credit ya SSH kwakuwa ni mwanamke aonekane hawezi kuendesha nchi .
Mwigulu alukuwa ana -fumble tu pale TBC, mimi nlikuwa naandika hukumu huku namuangalia, watoto wakaniuliza anaongea nini nikakosa jibu.
Mwigulu analipwa 12m na mshahara wa uwaziri 7 m kwa mwezi ni karibu 20 milion na hajui kodi .
Mwigulu anatumia post-paid haina hayo makato.
Mwigulu anazungumza kadhia za kikomunisti kwenye nchi ya kibepari.
Mwigulu ni htari kwa taifa la badae.
Mwiguliu na zungu ni kitu kimoja na wapo kwenye timu Mwigulu 2025 ya kumuondoa SAMIA.
Mwanasiasa anapo ongea jambo lake sijui anatuonaje yaani aah!Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.
Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?
Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.
Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.
Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.
MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Inasikitisha na kushangaza kwamba hata Mwigulu anaweza kufikiriwa kuwa kiongozi wa nchi hii!Watz hatuwezi kukubali kuwa na rais gaidi kigeugeu katili na mwenye roho mbaya kama Mwigulu
Hata kama Samia akijuwa, Mwigulu bado atabaki kuwa na lawama. Kujuwa kwa Samia hakumuondolei uhusika Mwigulu kwenye upangaji wa kodi hizo.Ulivyo ngumbaru, unafikiri hizo kodi Mwigulu kajipangia tu bila Samia kujua?
Njazia nyama kidogo kwenye hoja yako.Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.
Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?
Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.
Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.
Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.
MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Mimi nadhani kama Kuna mchango wa Mwigulu kwenye bajeti hii ni mambo machache kwani VP ndio alikua Waziri wa fedha muda mchache kabla ya bunge la bajeti kuanza.
Na sidhani kama muda Mwigulu amekua waziri ulitosha kuandaa mambo yote yale.
Hizi tozo kama za simu hakuna namna analikwepa.
Wenzangu mtanisahihisha.
Jana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.
Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?
Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.
Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.
Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.
MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Hapo ndio pa kumbana sasa , kwenye mafuta tumeona ongezeko huko Tarura ila kwenye tozo sijajua mgawanyo ukoje maana kuna majibu ya jumla jumla tuuJana nilimsikiliza Waziri Mwigulu pale TBC nikapata mashaka sana na kuona ameamua kudanganya kutaka kuupooza umma.
Akijaribu kufafanua amedai kuwa makato ya tozo hizi yanaenda kwenye huduma za afya haswa afya ya mama na mtoto.
Ningependa atoe ufafanuzi wa asilimia ngapi ya tozo itaenda huko?
Kwenye bajeti ya afya sijaona ingezeko la kipekee au special kwa mwaka huu wa fedha unaloweza kusema litatokana na makato ya simu.
Mfano mwaka wa fedha uliopita kila jimbo lilipata zahanati 3.
je mwaka huu wa fedha zitaingezeka na kuwa sita au zitabaki vilevile?
Kwenye bajeti sioni ongezeko lolote la bajeti ya Zahanati.
Pia sijaona fedha special eti kwa ajili ya mama na mtoto tofauti na ongezeko ambalo ni routine.
Kwa ufupi Afya imesingiziwa tu hakuna ushahidi wa kibajeti unaoonesha kuwa tozo hizi zitaenda kuboresha afya.kama nia ya kweli ipo basi fedha za tozo ziende moja kwa moja kwenye vituo vya huduma za afya.
MWIGULU PAMBANA NA HALI YAKO usisingizie afya.
Kama Magufuli aliweza kuwa rais basi hata Jerry Muro anaweza kuwaInasikitisha na kushangaza kwamba hata Mwigulu anaweza kufikiriwa kuwa kiongozi wa nchi hii!
Sasa tusipolipa mkuu ndio watoto wetu wataenda fedha? Si bora tulipe wapungue kurundikana kwenye madarasa ya kayumba?Watu wanakula zao nchi yao, Chadema walituchelewesha sana[emoji1787][emoji1787]View attachment 1855549