Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Hio bei ya kwenye website ya TRA wala usishtuke nayo kabisa. Yangu walitaka 80K nikaishia kulipa 20K Tanzania yetu sote.

Ngoja nipaze sauti DP world wasipewe hii bandari sisi wajanja hatuwataki hao.
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Uchakavu mzee, unataka bongo iwe dampo la magari old used?

Wanafanya hivo sababu hapo unalipia pia kutuchafulia mazingira
 
You need to be smart kwenye kodi,

Example ungenunua gari ya mwaka 2013 au 2014 then bei ingekuwa sawa na ukiyolipia kwenye gari ya 2011.

Kwa maana kodi ingepungua halafu gharama ya gari ingeongezeka ungekuwa umebaki na the same price, ika gari lingekuwa lina features nyingi zaidi ya hiyo uliyooagiza.
 
Back
Top Bottom