Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wadangaji nao wanakatwa Kodi au ?Umefuatilia hotuba ya Nchemba akiwasilisha makadirio ya bajeti ijayo?
Kuna ongezo zaidi la kodi bajeti ijayo kwenye kuagiza magari.
Uchakavu mzee, unataka bongo iwe dampo la magari old used?Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...
Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?
Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..
Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Kiuchumi watu wengi wakimiliki magari wanapata hela zaidi hasa kupitia mafuta metengeno na vipuri.Lengo kuu ni kuwakomoa watu wengi wasimiliki magari
Wale waliosema bora uzaliwe mbwa ulaya kuliko binadamu Afrika huenda wakawa kweli nini?Gari nzuri wapande wao, sisi tupande bodaboda tu.
Huku gari ni anasa, internet ni anasa.. nchi ya hovyo kabisa.
Duuuh hii Kali umetisha kwamba takataka zinalipiwa Kodi 😆Uchakavu mzee, unataka bongo iwe dampo la magari old used?
Wanafanya hivo sababu hapo unalipia pia kutuchafulia mazingira
Kwa mbwa, hiyo ni kufuru.Kwa
Wale waliosema bora uzaliwe mbwa ulaya kuliko binadamu Afrika huenda wakawa kweli nini?
Haa haa😄😄Mkuu yaani TRA ukinunua gari Wana wanakuja wakuuzie Tena wewe
.......na vyuo vya udereva wa kuendesha punda vianzishwe mara moja, au siyo?Wanakuja wajuaji wakupe muongozo. Kiufupi kama unaweza kununua punda ww nunua akuzungushe mjini magari tuyaache tu.
Hujakosea kabisaaaa.......na vyuo vya udereva wa kuendesha punda vianzishwe mara moja, au siyo?