Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Tatizo hujui madhara yanayoletwa na moshi kutoka kwenye engine chakavu.

Af miaka michache baadae mnaanza kulalamika ukame, mara mvua hazinyeshi wakati tukiwaambia mlikua mnatuita tuna akili finyu, sawa umeshinda.
Hata mimi namuunga mkono una akili finyu.

Athari ya mazingira haisababishwi na hivyo tugari bali utolewaji wa Carbon kwenye Industrial scale.

Ambayo nchi kama bongo ni insignificant kabisa.
Nenda kazungumze na nchi kama India, China na Marekani ambao wanatumia coal kuzalisha umeme na ndio wanaofanya contribution kubwa kwenye uchafuzi wa mazingira.

Ushuru mkubwa kwenye magari ni wizi wa mchana kwa state.

Bongo ni low income kumbuka
 
Hata mimi namuunga mkono una akili finyu.

Athari ya mazingira haisababishwi na hivyo tugari bali utolewaji wa Carbon kwenye Industrial scale.

Ambayo nchi kama bongo ni insignificant kabisa.
Nenda kazungumze na nchi kama India, China na Marekani ambao wanatumia coal kuzalisha umeme na ndio wanaofanya contribution kubwa kwenye uchafuzi wa mazingira.

Ushuru mkubwa kwenye magari ni wizi wa mchana kwa state.

Bongo ni low income kumbuka
Unatia huruma kweli.

Yaani unajidai unajua kumbe hamna kitu.

NOx (Nitrogen oxides) zinazotoka kwenye magari ni hatari zaidi hata ya Carbon dioxide,

Eti 'tugari', we zero kabisa, kama hivo kwa nini basi magari yanafanyiwa emission tests? Kuna models huendeshi kabisa nchi za wanaojitambua sababu emission rating yake haijakidhi viwango.

Akili za vijiweni shida tupu.
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Kwa gharama hizi ndio maana baadhi hutumia udanganyifu kukwepa gharama kama hizi
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Tunataka usitumie pesa za kununua mitumba ya magari ambayo hayazalishi
 
Serikali ya majizi huweka kodi umiza kwa raia lakini kwao kila kitu kina msamaha wa kodi. Wakiagiza gari haitozwi kodi, kuna wengine hadi mishahara yao ya kujipimia haina paye ila mshahara kibaba wa mwalimu una paye na makato mengine kibao
...Sijajua Kwa Nini kama Watanzania Milioni 62 tunaukubali UJINGA huu kutoka Kwa Watu tuliowaweka madakani wenyewe! TUAMKENI TUJITETEE WENYEWE.
HATUNA MJOMBA WA KUTUTETEA. TUACHE KULIA LIA MITANDAONI, BALI TUCHUE HATUA WENYEWE. TUNAWEZA
 
Unatia huruma kweli.

Yaani unajidai unajua kumbe hamna kitu.

NOx (Nitrogen oxides) zinazotoka kwenye magari ni hatari zaidi hata ya Carbon dioxide,

Eti 'tugari', we zero kabisa, kama hivo kwa nini basi magari yanafanyiwa emission tests? Kuna models huendeshi kabisa nchi za wanaojitambua sababu emission rating yake haijakidhi viwango.

Akili za vijiweni shida tupu.
Environmental pollution is not a new phenomenon, yet it remains the world's greatest problem facing humanity, and the leading environmental causes of morbidity and mortality. Man's activities through urbanization, industrialization, mining, and exploration are at the forefront of global environmental pollution.

Sasa unaweza kuona Zipi sababu hasa, Tuje kwenye No2 unayoisemea asilimia kubwa inasababisha na:

The impact of 1 pound of N2O on warming the atmosphere is 265 times that of 1 pound of carbon dioxide.1

Globally, 40% of total N2O emissions come from human activities.2 Nitrous oxide is emitted from agriculture, land use, transportation, industry, and other activities, described below.

Hivyo bado nasema effect inayotoka kwenye tuvigari sio issue ya kuweza kushape na kuathiri uingizaji wa Magari Tanzania kwa kuweka Kodi kubwa.

Zipi nchi zinazochangia kwa kiasi kikubwa environment pollution

China, with more than 10,065 million tons of CO2 released.

United States, with 5,416 million tons of CO2.

India, with 2,654 million tons of CO2.

Russia, with 1,711 million tons of CO2.

Japan, 1,162 million tons of CO2.

Germany, 759 million tons of CO2.

Iran, 720 million tons of CO2.

Which countries emmit more Nitrogen oxide utaziona ni:

The United States had the highest nitrogen oxide (NOx) emissions of OECD countries in 2020, at 7.24 million metric tons. Australia followed that year, with NOx emissions totaling 2.98 million metric tons. Germany was the largest producer of NOx emissions in OECD Europe that year.

China

Australia

German

Na hizi ndio nchi duniani zinazoongoza kwa Uchaguzi wa mazingira na utoaji wa CO2 na NO2 kuliko.

Issue yako kwa bongo ni insignificant na haiwezi kuwa sababu yenye mashiko.

Sawa Msomi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huo ndio utaratibu wa nchi hawapendi wananchi tujidai ktk nchi yetu.
Kwani wasifikirie kwa namna ya kuongeza mapato kutoka na matumizi ya gari hapa nchini yanayo jirudia rudia kutoka kwa mmiliki wagari hilo. Mathalan:- mafuta, oil, vipuri,............ Nb kumiliki na kutumia gari unawezesha biashara nyingine ziendelee.
 
SIJUI wanaona wivu au ni nini kodi hizo majina kibao na halafu hayapo kwa kiswahili na wala hawacharge kwa tsh wanatumia dola.kirikuu tu ni usd 3000 -4000 mpaka dar kitoe bandarini uone mziki...yaaani naona sasa serikali iwe ndio muuzaji na muagizaji mkuu wa magari watuuzie maana wanaona kama tukinunua huko tunajifaidisha tukimiliki vyombo si tunakuza uchumi na kuboresha hali zetu.... hio prado ilitosha uinunue m40 ifike mwanza wachukue 450k yao ya usajili...mafuta wanakata makorokoro ya kutosha...yaani inakera kama ile railway lev ya nini gari na reli wapi na wapi na ndio inachagiwa peke yake kwa tzs
 
Ukanda mzima wa SADC sisi Tanzania ni import DUTY kubwa kuliko nchi nyingine zote za SADC haijarishi tumebarikiwa BANDARI.
 
Back
Top Bottom