Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Na wao magari mazuri wanayapanda kwa ufisadi tuu, wakiwa nje ya system huku mtaani nao wanahamia kwenye Rav4, Vanguard mpaka vi corolla wengine..
Wanayapanda, wanapiga deals ndefu, bado gari hizo hizo wanaamua kuuziana.. nchi hii ina wenyewe mzee.
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Ili kuzobiti kila mtu asiwe na gari .. Kuwe na RANK baina ya mwenye nacho na ambaye hana yaani mlala hoi
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo [emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516]pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516] ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!

Lipa ushuru na kodi kwa maendeleo ya nchi yako.
 
Ni kana kwamba TRA na wao wameshiriki kulitengeneza hilo gari..........maana wanalamba pesa zaidi ya mwenye gari.
 
You need to be smart kwenye kodi,

Example ungenunua gari ya mwaka 2013 au 2014 then bei ingekuwa sawa na ukiyolipia kwenye gari ya 2011.

Kwa maana kodi ingepungua halafu gharama ya gari ingeongezeka ungekuwa umebaki na the same price, ika gari lingekuwa lina features nyingi zaidi ya hiyo uliyooagiza.
I don't get you...

What exactly do you mean, that, I have to be smart on tax issues?

A m I not smart?

Can you put it more clear in a simple and understandable language, please?
 
Huo ndio utaratibu wa nchi hawapendi wananchi tujidai ktk nchi yetu.
Furaha yao nikuona watanzania wakiishi kama mandondocha na wao wakibarizi kwenye mav8, huku wakikumwagia matope.
 
IMG_7749.jpg

Hapo ndo ulipoliwa. Acha kununua gari ambayo inazidi miaka 7 toka utengenezaji wake. Maana gharama utakayoinunua (kitonga) Utailipia TRA kwa Kodi ya uchakavu
 
Back
Top Bottom