Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Hakuna wataalamu hapo ni matapeli tuu...Pole sana ngoja wataalamu waje
Actually humo hakuna brains [emoji3447] za kuja na various new tax options, wao ni kodi kwenye magari, mafuta, mishahara etc baas... Sijui kwa nini DP World wasipewe na hiyo mamlaka...Mkuu yaani TRA ukinunua gari Wana wanakuja wakuuzie Tena wewe
Hivi haiwezekani wauzaji wa hayo magari wakaja na policy ya kukataa kodi kwenye uuzwaji wa magari yao walau isizidi 30% ya value ya gari?? Yaani wakigundua kwamba kuna nchi zinaweka ushuru mkubwa zaidi ya kiwango fulani walichokubaliana then wawagomee kabisa kuwauzia magari yao??? This is too much aiseeee kodi inazidi manunuzi ya gari as if TRA ni manufacturer??Serikali ya majizi huweka kodi umiza kwa raia lakini kwao kila kitu kina msamaha wa kodi. Wakiagiza gari haitozwi kodi, kuna wengine hadi mishahara yao ya kujipimia haina paye ila mshahara kibaba wa mwalimu una paye na makato mengine kibao
Hatuwezi kushangaa coz they are out of new options of sources of taxes....Umefuatilia hotuba ya Nchemba akiwasilisha makadirio ya bajeti ijayo?
Kuna ongezo zaidi la kodi kwenye kuagiza magari.
So the TRA website is fake au shida ni nini? Lengo la hizi government websites ni kutoa taarifa sahihi kabisa kwa umma, short of that zitakuwa na faida gani???Hio bei ya kwenye website ya TRA wala usishtuke nayo kabisa. Yangu walitaka 80K nikaishia kulipa 20K Tanzania yetu sote.
Ngoja nipaze sauti DP world wasipewe hii bandari sisi wajanja hatuwataki hao.
Hoja ya kipumbavu kabisa hii, na huwa inatolewa na wenye akili finyu kabisa kama wewe...Uchakavu mzee, unataka bongo iwe dampo la magari old used?
Wanafanya hivo sababu hapo unalipia pia kutuchafulia mazingira
Na wao magari mazuri wanayapanda kwa ufisadi tuu, wakiwa nje ya system huku mtaani nao wanahamia kwenye Rav4, Vanguard mpaka vi corolla wengine..Gari nzuri wapande wao, sisi tupande bodaboda tu.
Huku gari ni anasa, internet ni anasa.. nchi ya hovyo kabisa.
Kiuchumi watu wengi wakimiliki magari wanapata hela zaidi hasa kupitia mafuta metengeno na vipuri.
Uchakavu mzee, unataka bongo iwe dampo la magari old used?
Wanafanya hivo sababu hapo unalipia pia kutuchafulia mazingira
Wafanye haraka Kama ni hivyo
Mbona hiyo ni toka kitambo inafahamika,ukiagiza gari mitandaoni chukua price ya gari utakayowalipa hao wajapan then izidishe mara mbili,ndo unapata gharama halisi ya gari toka Japan hadi kuipokea bandarin dsm🙏
kwanza nianze kwa kukusahihisha. Hakuna kodi ya TRA bali kodi zote zipo chini ya sheria iliyopitishwa bungeni.Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...
Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?
Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..
Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Tatizo hujui madhara yanayoletwa na moshi kutoka kwenye engine chakavu.Hoja ya kipumbavu kabisa hii, na huwa inatolewa na wenye akili finyu kabisa kama wewe...
Mkuu suluhisho ni moja tu kujiua kucommit suicide kuepukana na na huu uonevu.Kodi kubwa kila sehem yaan sijui wanazaza nn, nilienda ofc kwa jamaa ambae alikuwa ameagiza bia za thamani ya milion 12 ktk zile pia alikuwa amepewa risiti ya mashine mbili risiti moja ilikuwa nyenye dhamani ya sh 1,600,000 , kodi ilikuaa karubia kali 2 ,sasa nikawaza bia za milioni moja la kazi 6 ukamtoze mtu kodi sh laki mbili yeye anapata faida sh ngapi na,kupitia hivi jamaa alikuwa amekwepa kodi kuwa sana kwa maana mziho wa milioni 12 ametoa risiti mbili tu na thamani ya risiti haizid milioni 4 kwa zote mbili