MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Hakiks Kuna haha kubwa ya sisi Watanzania kuonesha hasira yetu juu ya kikundi hiki Cha majizi na kisichojali wananchi ambao bila wao hakuna Taifa Tena....Sijajua Kwa Nini kama Watanzania Milioni 62 tunaukubali UJINGA huu kutoka Kwa Watu tuliowaweka madakani wenyewe! TUAMKENI TUJITETEE WENYEWE.
HATUNA MJOMBA WA KUTUTETEA. TUACHE KULIA LIA MITANDAONI, BALI TUCHUE HATUA WENYEWE. TUNAWEZA
🥺Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...
Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?
Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..
Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
Ukweli mtupuIla ukweli TRA tunawaonea tu. Wao wameelekezwa hivyo. Leo hii kungeundwa sheria ya kutolipa ushuru wa kuagiza gari, wangetekeleza. Wote tunajua nani anahusika, ila tunajikausha. Wabunge... wa CCM.
Land cruiser isiyo na kodi ya uchakavu una nunua bei gani huko ulaya?View attachment 2670576
Hapo ndo ulipoliwa. Acha kununua gari ambayo inazidi miaka 7 toka utengenezaji wake. Maana gharama utakayoinunua (kitonga) Utailipia TRA kwa Kodi ya uchakavu
Sera mbovu watu Wengi wanatakiwa wamiliki magari ili serikalli iongeze Mapato ya Kodi mengi kwenye Mafuta yanayotumiwa na magariLengo kuu ni kuwakomoa watu wengi wasimiliki magari
Kwa hiyo angenunua ya miaka mingapi?View attachment 2670576
Hapo ndo ulipoliwa. Acha kununua gari ambayo inazidi miaka 7 toka utengenezaji wake. Maana gharama utakayoinunua (kitonga) Utailipia TRA kwa Kodi ya uchakavu