Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

Kodi ya uagizaji gari Japan kuja Tanzania unatisha. Land cruiser Prado bei TZS 40,638,290 (hadi Mwanza via DSM). Kodi + gharama zingine 42,060,235!!

...Sijajua Kwa Nini kama Watanzania Milioni 62 tunaukubali UJINGA huu kutoka Kwa Watu tuliowaweka madakani wenyewe! TUAMKENI TUJITETEE WENYEWE.
HATUNA MJOMBA WA KUTUTETEA. TUACHE KULIA LIA MITANDAONI, BALI TUCHUE HATUA WENYEWE. TUNAWEZA
Hakiks Kuna haha kubwa ya sisi Watanzania kuonesha hasira yetu juu ya kikundi hiki Cha majizi na kisichojali wananchi ambao bila wao hakuna Taifa Tena.
 
Mfumo wa kodi ya uagizaji gari (used abroad) toka nje hususani Japan kuingia Tanzania unatisha na kushangaza sana...

Mathalani hivi inawezekanaje kodi na gharama zingine pale bandarini ziwe kubwa kuliko bei ya gari yenyewe? Msingi wa kutoza kodi kwa jinsi hii UNAKUWA ni nini eti..?

Nimeagiza gari yangu [Land Cruiser Prado TRJ150 ya mwaka 2011 toka Japan juzi kati hapa kupitia kampuni ya Be Forward nipokelekee Mwanza kupitia bandari ya DSM..

Kodi na gharama zingine kupitia TRA yetu ni kubwa kuliko bei niliyonunulia na kuisafirisha hadi Mwanza...!!
View attachment 2667627
Gari yenyewe hiyo ☝️☝️☝️☝️pamoja na total price yake [C&F Mwanza via bandari ya DSM]
View attachment 2667632
Hizo☝️☝️☝️☝️ ndo kodi za TRA. Ni kubwa kuliko bei ya gari yenyewe. Kodi inatozwa hadi kwenye ZERO income...!!
🥺
 
Ila ukweli TRA tunawaonea tu. Wao wameelekezwa hivyo. Leo hii kungeundwa sheria ya kutolipa ushuru wa kuagiza gari, wangetekeleza. Wote tunajua nani anahusika, ila tunajikausha. Wabunge... wa CCM.
Ukweli mtupu
 
Vijana wa kitanzania badala ya kujiuliza na kupata ufafanuzi juu ya ishu Kama hizi wapo kukomaa X ifutwe. Ukitaka kununua Gari hii nchi unajikuta unawaza uharamu wa kulimiliki kwa kuanzia kulitoa Bandarini.
Ni watu ndio hawa hawa binadamu ndio wameshikilia taratibu za kukomoa binadamu wenzao ndani ya nchi 1. Mnunuzi wa Gari unakuwa treated Kama jitu moja lenye pesa sana
 
Back
Top Bottom